Mimi napewaga laptop na bag lake, kwahiyo nilikuwa naenda na bag lao vitu vyangu vyote naweka humo. Ila wengi hawazuii labda akuhisi kwamba unaweza chomoa cable ukatia mfukoni, au ukachukua chochote ukatia kwa ki bag. Kuna kampuni zingine huingii na ki bag mfano kiwanda cha nguo cha 21 Centure Textiles moro, wao bag zako anaziacha kwa askari getini ukimaliza mda wa kazi wakati wa kutoka unachukua...maana wanahisi usije ukachukua kitenge ukatia kwenye bag lako. Wengi hapo awali walikuwa wanafanya hivyo...kwahiyo utazoe tu kwenda bila bag