M Makupa JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 6,822 Reaction score 4,034 Jul 1, 2012 #1 Nakumbuka mwaka 1995.chuo cha uhasibu wanachuo wote walifukuzwa na hawakurejeshwa tena chuoni .Nimebahatika kukutana na baadhi yao mfano aliyekuja kuwa rais wa Daruso komredi Julius Rugemalira.Wale wanachuo wengine mko wapi ?
Nakumbuka mwaka 1995.chuo cha uhasibu wanachuo wote walifukuzwa na hawakurejeshwa tena chuoni .Nimebahatika kukutana na baadhi yao mfano aliyekuja kuwa rais wa Daruso komredi Julius Rugemalira.Wale wanachuo wengine mko wapi ?
D dada jane JF-Expert Member Joined Dec 8, 2011 Posts 565 Reaction score 118 Jul 3, 2012 #2 Usinikumbushe hiyo kitu. Ilikuwaga kisiasa zaidi.
M mdawi Member Joined Mar 16, 2012 Posts 20 Reaction score 3 Jul 5, 2012 #3 Mimi nimesoma DSA the TIA (kwa sasa) wakati naanza niliowakuta pale walitupa hii stori. je Julius ndie alikuwa anaitwa Freeman?
Mimi nimesoma DSA the TIA (kwa sasa) wakati naanza niliowakuta pale walitupa hii stori. je Julius ndie alikuwa anaitwa Freeman?