Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Mwaka huu kutatokea tukio la kupatwa kwa jua ila kwa huku Tanzania hatutaliona vizur kama watu wa Mexico na Marekani
Ila imekunimbusha tukio kama hili nililishuhudia na nikiwa na utimamu wa akili kuanzia mida ya saa saba mpaka saa tisa kulikua na kivuli flani hivi japokua jua lilikua linawaka na hakukua na mawingu yeyote
Ni matukio ambayo sitakaa niyasahau tuliyasoma tu shuleni ila nilikuja kuyaona na ile namna kulikua na kivuli kuanzia mida ya saa saba mpaka saa tisa mchana sitakaa nisahau
Ila imekunimbusha tukio kama hili nililishuhudia na nikiwa na utimamu wa akili kuanzia mida ya saa saba mpaka saa tisa kulikua na kivuli flani hivi japokua jua lilikua linawaka na hakukua na mawingu yeyote
Ni matukio ambayo sitakaa niyasahau tuliyasoma tu shuleni ila nilikuja kuyaona na ile namna kulikua na kivuli kuanzia mida ya saa saba mpaka saa tisa mchana sitakaa nisahau