Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 40,905 Reaction score 86,203 Feb 5, 2015 #1 Hii party imekua kama utamaduni wa watu wa Jamii forums baadhi lakini kukutana sehemu kujuliana hali.Je mwaka huu 2015 itafanyika lini. cc@KakaKiiza lara 1 @ Mtambuzi Watu8 Madame B Paloma cacico Asprin Na wengineo.Binafsi mwaka huu nataka niwepo na mai bebi@Preta.
Hii party imekua kama utamaduni wa watu wa Jamii forums baadhi lakini kukutana sehemu kujuliana hali.Je mwaka huu 2015 itafanyika lini. cc@KakaKiiza lara 1 @ Mtambuzi Watu8 Madame B Paloma cacico Asprin Na wengineo.Binafsi mwaka huu nataka niwepo na mai bebi@Preta.
cacico JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 8,362 Reaction score 7,800 Feb 5, 2015 #2 mtu chake said: ...hii party imekua kama utamaduni wa watu wa jf ( baadhi lkn) kukutana sehemu kujuliana hali ...je mwaka huu 2015 itafanyika lini? Cc@kakakiiza lara 1 @ mtambuzi watu8 madame b paloma cacico asprin... Na wengineo.... Binafsi mwaka huu nataka niwepo na mai bebi@preta.... Click to expand... present jana, leo na kesho! Uwiiiiiiiiiiiii naachaje kuja! Nimemmiss Mtambuzi when you guys talks about parties, loool! Nitakuwepo na my hubby Asprin Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mtu chake said: ...hii party imekua kama utamaduni wa watu wa jf ( baadhi lkn) kukutana sehemu kujuliana hali ...je mwaka huu 2015 itafanyika lini? Cc@kakakiiza lara 1 @ mtambuzi watu8 madame b paloma cacico asprin... Na wengineo.... Binafsi mwaka huu nataka niwepo na mai bebi@preta.... Click to expand... present jana, leo na kesho! Uwiiiiiiiiiiiii naachaje kuja! Nimemmiss Mtambuzi when you guys talks about parties, loool! Nitakuwepo na my hubby Asprin
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 40,905 Reaction score 86,203 Feb 5, 2015 Thread starter #3 cacico said: present jana, leo na kesho! Uwiiiiiiiiiiiii naachaje kuja! Nimemmiss Mtambuzi when you guys talks about parties, loool! Nitakuwepo na my hubby Asprin Click to expand... ...zis taimu na mm natoka mafichoni nakuja kupariii..
cacico said: present jana, leo na kesho! Uwiiiiiiiiiiiii naachaje kuja! Nimemmiss Mtambuzi when you guys talks about parties, loool! Nitakuwepo na my hubby Asprin Click to expand... ...zis taimu na mm natoka mafichoni nakuja kupariii..
Asprin JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,223 Reaction score 96,083 Feb 6, 2015 #4 cacico said: present jana, leo na kesho! Uwiiiiiiiiiiiii naachaje kuja! Nimemmiss Mtambuzi when you guys talks about parties, loool! Nitakuwepo na my hubby Asprin Click to expand... Na hili ndilo neno la Mungu.......:welcome::welcome::welcome:
cacico said: present jana, leo na kesho! Uwiiiiiiiiiiiii naachaje kuja! Nimemmiss Mtambuzi when you guys talks about parties, loool! Nitakuwepo na my hubby Asprin Click to expand... Na hili ndilo neno la Mungu.......:welcome::welcome::welcome:
Rahabu JF-Expert Member Joined Jan 21, 2014 Posts 5,526 Reaction score 3,341 Feb 6, 2015 #5 Ikipatikana chance ya upendeleo
ladyfurahia JF-Expert Member Joined May 10, 2011 Posts 14,753 Reaction score 9,575 Feb 6, 2015 #6 yaani best unawaza party badala ya kuwaza pesa heeeeeee?
RRONDO JF-Expert Member Joined Jan 3, 2010 Posts 55,727 Reaction score 123,094 Feb 6, 2015 #7 ladyfurahia said: yaani best unawaza party badala ya kuwaza pesa heeeeeee? Click to expand... kwenye party nyingine kuna channels za hela......
ladyfurahia said: yaani best unawaza party badala ya kuwaza pesa heeeeeee? Click to expand... kwenye party nyingine kuna channels za hela......
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,421 Reaction score 18,760 Feb 6, 2015 #8 muda si bado lakini...?
ladyfurahia JF-Expert Member Joined May 10, 2011 Posts 14,753 Reaction score 9,575 Feb 6, 2015 #9 kma ndo hilo yote kheri sijajua kuwa kwenye party kunakuwa na mchongo asante kunijuza hili ila mwaka huu watu wako bize sijui kama party itakuwapo RRONDO said: kwenye party nyingine kuna channels za hela...... Click to expand...
kma ndo hilo yote kheri sijajua kuwa kwenye party kunakuwa na mchongo asante kunijuza hili ila mwaka huu watu wako bize sijui kama party itakuwapo RRONDO said: kwenye party nyingine kuna channels za hela...... Click to expand...
Super women 2 JF-Expert Member Joined Nov 16, 2016 Posts 5,164 Reaction score 6,540 Dec 13, 2017 #10 Ivi kumbe jf. Inakuwaga na party sometime..