Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Wanajua, viburi tu wakenya.
Lakini upende kuleta habari njema pia juu ya Tanzania sio mbaya tu kama huna ufumbuzi.Nigeria inaongoza Afrika kwa wingi wa raia maskini ambao wametimia milioni 86.9, lakini tukija hapa Afrika mashariki, Tanzania ndio kinara wa raia wengi kuwa maskini, idadi yao ni milioni 19.9
Pia Tanzania ndio ya pili kwa raia wengi maskini kule kwenye muungano wao wa SADC, yaani sio huku EAC wala kule SADC.
Japo pia cha kushangaza Tanzania ndio huongoza Afrika kwa wingi wa raslimali za mali asili, sijui kwanini hawakutoka kwa lile la makinikia. Nani kawaroga hawa ndugu zetu......
Hongera JF kwa kufanikiwa kurudi hewani.
Top 10 African countries with extreme poverty (June 2018)
Kwa Mtanzania mwenye akili, hii habari ni nzuri maana inachochea jitihada badala ya kuishi mkibweteka na kuamini mpo shwari ilhahli mnaongoza EAC na SADC kwa raia maskini.Lakini upende kuleta habari njema pia juu ya Tanzania sio mbaya tu kama huna ufumbuzi.
Nigeria inaongoza Afrika kwa wingi wa raia maskini ambao wametimia milioni 86.9, lakini tukija hapa Afrika mashariki, Tanzania ndio kinara wa raia wengi kuwa maskini, idadi yao ni milioni 19.9
Pia Tanzania ndio ya pili kwa raia wengi maskini kule kwenye muungano wao wa SADC, yaani sio huku EAC wala kule SADC.
Japo pia cha kushangaza Tanzania ndio huongoza Afrika kwa wingi wa raslimali za mali asili, sijui kwanini hawakutoka kwa lile la makinikia. Nani kawaroga hawa ndugu zetu......
Hongera JF kwa kufanikiwa kurudi hewani.
Top 10 African countries with extreme poverty (June 2018)
Tunaongoza kwa idadi ya watu, sababu tupo wengi. Convert that into percentage we're better than you, wengi kwenyu mafukara zaidi ya bongo, refer geza's chartKwa Mtanzania mwenye akili, hii habari ni nzuri maana inachochea jitihada badala ya kuishi mkibweteka na kuamini mpo shwari ilhahli mnaongoza EAC na SADC kwa raia maskini.
Tunaongoza kwa idadi ya watu, sababu tupo wengi. Convert that into percentage we're better than you, wengi kwenyu mafukara zaidi ya bongo, refer geza's chart
Kwa Mtanzania mwenye akili, hii habari ni nzuri maana inachochea jitihada badala ya kuishi mkibweteka na kuamini mpo shwari ilhahli mnaongoza EAC na SADC kwa raia maskini.
Usitie shaka MK254 nchi kwa sasa inanyooshwa ikinyooka hao maskini watapungua sana kama siyo kwisha kabisa.Nigeria inaongoza Afrika kwa wingi wa raia maskini ambao wametimia milioni 86.9, lakini tukija hapa Afrika mashariki, Tanzania ndio kinara wa raia wengi kuwa maskini, idadi yao ni milioni 19.9
Pia Tanzania ndio ya pili kwa raia wengi maskini kule kwenye muungano wao wa SADC, yaani sio huku EAC wala kule SADC.
Japo pia cha kushangaza Tanzania ndio huongoza Afrika kwa wingi wa raslimali za mali asili, sijui kwanini hawakutoka kwa lile la makinikia. Nani kawaroga hawa ndugu zetu......
Hongera JF kwa kufanikiwa kurudi hewani.
Top 10 African countries with extreme poverty (June 2018)
Mmmh! Hapa sibonyezi kidude. Hadi mwisho wa hii ngoma ya blah blah za bongo fleva.Hili la percent umelishikia bango ni kama ndio linaondoa ukweli, mbona haya mahesabu yanafanywa chekechea kwetu
Tz population 58mil Mafukara 19 mil ambapo ni 32% of the population
Ke population 49 mil
Mafukara 14 mil ambapo ni 28% of the population
Tatizo kubwa linakujia pale Tz na DRC zina kila sababu za kuongoza Afrika kwa utajiri lakini Miafrika imelaaniwa uvivu na mdebwedo.