uliwin mkuu?Mwezi wa Saba mwaka 2020 ndani ya wiki moja
Nilimtumia mtaji wa sh 250/=Tsh
Nikasuka mkeka wa mechi 21
Total odds 69,000+
Possible won 36m
Kodi ya SERIKALI 7+m
Take home 28+m
Siku ya kwanza zilicheza game 8 icelands teams
Europa game moja ya Basel vs Frankfurt AKIWIN dk ya 92
Last games zilikuwa Ni UEFA
Bayen vs Chelsea
BARCELONA vs Napoli soko BTS OR GG yaannkila timu ifunge goli
Uzi tayari msifute aiseeee
hongeraBooom mkuuu la hatari
hatujakuona hall of fameBooom mkuuu la hatari
ofisi zao ziko wapi?Niligoma kwenda kufanya interview..niliwaambia Kama wanataka nifanye interview na kupigana mapicha wanilipe 5m ndo niwaibukie OFISIN KWAO..
kumbe interview sio lazima? vipi hizi betpawa giveaway umewah lamba ata miaBETPAWA I THINK ZIPO MIKOCHEN siku Ile walinipigia simu kunipongeza walitamka Kama zipo mikocheni
Sasa cheque ulichukua wapi,kama ofisi zao huna uhakika sehemu ambako zipo?..ulitoaje huo mpunga?,mobile money?BETPAWA I THINK ZIPO MIKOCHEN siku Ile walinipigia simu kunipongeza walitamka Kama zipo mikocheni
mobile money mkuuSasa cheque ulichukua wapi,kama ofisi zao huna uhakika sehemu ambako zipo?..ulitoaje huo mpunga?,mobile money?