Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Hahahahah.Duh, ebwanae nimeangalia vizuri nimeona kama vile natakiwa kuongeza Mke!
Afu wewe si nilikuomba uwe mchepuko wangu??Namwachia Mungu,aendelee kutengeneza
Nina MTU asiye mchepuko kwangu mkuuAfu wewe si nilikuomba uwe mchepuko wangu??
Afu wewe si nilikuomba uwe mchepuko wangu??
Basi acha nimwachie Mungu anipiganieNina MTU asiye mchepuko kwangu mkuu
HakikaBasi acha nimwachie Mungu anipiganie
Ila ujue iko siku utanikumbuka....Hakika
Noo,nilipo sasa ni Mungu mwenyewe amenipa...sitoanguka wala kukumbuka nyumaIla ujue iko siku utanikumbuka....
Hahahahaa hii nilishuhudia pale Mombo kwenye Mbuzi, paka walikua wananyanduana kwenye paa dahKwa mara ya kwanza naona nitashuhudia paka wakivunja amri ya sita ya Mungu...
Nimekumiss Babu Asprin , 2023 ukawe mwaka mzuri kwako. Yote unayoyatamani yakawe kwa uwezo wake Mungu Baba...Afu Bantu Lady hapo juu usidhani sijaona Like uliyonigongea....