Inshallah utakua mwaka mzuri.Mimi nimeona "gratitude" "money" "connection" na "health"
Tafuta hapa chini Kama una macho mazuri[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2464849
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nimefanyaje??Afu 2023 sitacheza tena na wewe. Mpaka unitake radhi
Hello madam.Kakake mbappe leo mwaka mpya ni wapi ndugu yangu.
Ambaye n mm..Nina MTU asiye mchepuko kwangu mkuu
😂embu acha hizo mkuuAmbaye n mm..
I love you more.!Mimi na handsome wangu mambo ni 2023 utakuwa wa BARAKA na NEEMA kama zote...
Atapita hapa atasoma. Babe I love you...
Don't take it serious...HAVE SOME FUN..embu acha hizo mkuu