Shukrani sanaHongera mkuu...
ššššKituko changu ni..
Simba kuamini mvua inawapa ushindi [emoji1787][emoji1787]
Make sure kwenye mapambano hauumizi wengine/upande wa pili or isiwe vitu za kutisha hadi shetani nae akaogopa.Nilichelewa sana kujua people donāt āplay fairā kwenye kupambania.
I have learnt the hard way kwamba kuna muda UNACHEZA RAFU! Otherwise utabaki unaangalia wenzako wanajenga majumba,
wanaendesha ndinga kali, watoto wanasoma shule nzuri etc wewe upo tu. Acha inyeshe tuone inapo vuja welcome 2024 kwa Blessing nyingi
Sina maana hiyo rafikišShetani anaogopa kumbe?
Nawewe ukawa mzembe kiasi hicho, umezinguaKuna kibinti kilinipasulia simu yangu, kilinidaka nachepuka.
Inauma sana.
nimekomaNawewe ukawa mzembe kiasi hicho, umezingua
Bado ndio kwanza huo ni muhtasarinimekoma
Itabidi mleta thread afanye namna yoyote ile hata ndugu akupatiešMwaka ambao sina cha goodmorning/goodnight bebi, hakuna mahusiano yaliyofanya kazi mpaka sasa.