Si ujilove you HM?Mwaka ambao sina cha goodmorning/goodnight bebi, hakuna mahusiano yaliyofanya kazi mpaka sasa.
Ni utani wala usichukulie serious. Sawa?!Mbona makasiriko...
Mi sijakubaliana, nimesema aoe aweke ndani
Hainisumbui najipenda mno yani hadi nakomaSi ujilove you HM?
Hiyo nayo ni kitu ya kukusumbua kweli?[emoji28]
🤣🤣🤣 safi sanaKuna kibinti kilinipasulia simu yangu, kilinidaka nachepuka.
Inauma sana.
Donatila moyo unakushtuka?Mwenye ndugu yuko tayari kukupatia kwa roho nyeupe ? Ikiwa anafahamu shemeji mtu una tabia kama za mcheza sinema 18+🤣..
Kama moyo haumshtuki bhas iwe kheriii.
Mhhh mhhh.Kuna kibinti kilinipasulia simu yangu, kilinidaka nachepuka.
Inauma sana.
Kama mtu anaweza kuja kutafuta wanaume humu JF,huyo usidhani ni mtu wa kawaida. Atakuwa ni msomi(sema sasa wanasoma kitu gani)Pole mkuu,
Mi nalia na watoto wetu wa kiume [emoji24][emoji24]
Kama kuna kazi iliyokubwa sasa ni malezi ya watoto wa kiume...
tumuache tu nikimkumbuka napata machungu🤣Mhhh mhhh.
Ni naaani huyo Tena Katibu ?
sitaki hata kumuona namkwepa kama radiNawewe alikutokea ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole sana mdauHuu mwaka nauchukia kwasababu mdogo wangu wa mwisho tulimzika Mwezi 6, natamani uishe haraka sana
Khakhaa!Kituko changu ni..
Simba kuamini mvua inawapa ushindi [emoji1787][emoji1787]
Asante sana mkuuPole sana mdau