Mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii 1.8M, USD3.37 Billion Mwaka 2024 Tanzania ilipata watalii 5.4M, USD 3.67 Billion

Mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii 1.8M, USD3.37 Billion Mwaka 2024 Tanzania ilipata watalii 5.4M, USD 3.67 Billion

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Hizi taarifa za serikali naona kama zinanipa maswali mengi bila majibu.

Mei 2024 aliekua waziri wa Utalii Angela Kairuki alisema kwa mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii Milioni 1.8, ambayo ilikua ni ongezeko la 96% kulinganisha na watalii laki 9 wa mwaka 2021.

Januari mwaka huu, waziri wa Utalii Pimdi Chana aliyangaza kwamba mwaka 2024 Tanzania ilipata watalii milioni 5.4.

Shida yangu inakuja, Takwimu za mapato ya utalii kutoka benki kuu zinasema mwaka 2023 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.37 kutokana na utalii na mwaka 2024 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.67 kutokana na utalii.

Sasa tukirudi kwenye takwimu, ukiangalia 2024 kulikua na ongezeko la watalii karibu 3.6 milioni, sawa na ongezeko la 200% kutoka idadi ya watalii wa 2023 lakini mapato yameongezeka kwa kama 9% wakati idadi ya watalii imeongezeka kwa 200%.

Labda wataalamu mnisaidie kuelewa hizi takwimu zilivyokaa.

View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1890644239752786261?s=19
 
Hizi taarifa za serikali naona kama zinanipa maswali mengi bila majibu.

Mei 2024 aliekua waziri wa Utalii Angela Kairuki alisema kwa mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii Milioni 1.8, ambayo ilikua ni ongezeko la 96% kulinganisha na watalii laki 9 wa mwaka 2021.

Januari mwaka huu, waziri wa Utalii Pimdi Chana aliyangaza kwamba mwaka 2024 Tanzania ilipata watalii milioni 5.4.

Shida yangu inakuja, Takwimu za mapato ya utalii kutoka benki kuu zinasema mwaka 2023 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.37 kutokana na utalii na mwaka 2024 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.67 kutokana na utalii.

Sasa tukirudi kwenye takwimu, ukiangalia 2024 kulikua na ongezeko la watalii karibu 3.6 milioni, sawa na ongezeko la 200% kutoka idadi ya watalii wa 2023 lakini mapato yameongezeka kwa kama 9% wakati idadi ya watalii imeongezeka kwa 200%.

Labda wataalamu mnisaidie kuelewa hizi takwimu zilivyokaa.

View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1890644239752786261?s=19

Hii nchi aisee ni shamba la Bibi kweli
 
Hizi taarifa za serikali naona kama zinanipa maswali mengi bila majibu.

Mei 2024 aliekua waziri wa Utalii Angela Kairuki alisema kwa mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii Milioni 1.8, ambayo ilikua ni ongezeko la 96% kulinganisha na watalii laki 9 wa mwaka 2021.

Januari mwaka huu, waziri wa Utalii Pimdi Chana aliyangaza kwamba mwaka 2024 Tanzania ilipata watalii milioni 5.4.

Shida yangu inakuja, Takwimu za mapato ya utalii kutoka benki kuu zinasema mwaka 2023 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.37 kutokana na utalii na mwaka 2024 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.67 kutokana na utalii.

Sasa tukirudi kwenye takwimu, ukiangalia 2024 kulikua na ongezeko la watalii karibu 3.6 milioni, sawa na ongezeko la 200% kutoka idadi ya watalii wa 2023 lakini mapato yameongezeka kwa kama 9% wakati idadi ya watalii imeongezeka kwa 200%.

Labda wataalamu mnisaidie kuelewa hizi takwimu zilivyokaa.

View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1890644239752786261?s=19

Mama anaupiga mwingi
 
Hizi takwimu mmezitoa wapi na Zina uhalisia gani?
Mimi nilikuja na watalii 40 waliingia mbugani ila sioni walirekodiwa wapi
 
Hizi taarifa za serikali naona kama zinanipa maswali mengi bila majibu.

Mei 2024 aliekua waziri wa Utalii Angela Kairuki alisema kwa mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii Milioni 1.8, ambayo ilikua ni ongezeko la 96% kulinganisha na watalii laki 9 wa mwaka 2021.

Januari mwaka huu, waziri wa Utalii Pimdi Chana aliyangaza kwamba mwaka 2024 Tanzania ilipata watalii milioni 5.4.

Shida yangu inakuja, Takwimu za mapato ya utalii kutoka benki kuu zinasema mwaka 2023 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.37 kutokana na utalii na mwaka 2024 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.67 kutokana na utalii.

Sasa tukirudi kwenye takwimu, ukiangalia 2024 kulikua na ongezeko la watalii karibu 3.6 milioni, sawa na ongezeko la 200% kutoka idadi ya watalii wa 2023 lakini mapato yameongezeka kwa kama 9% wakati idadi ya watalii imeongezeka kwa 200%.

Labda wataalamu mnisaidie kuelewa hizi takwimu zilivyokaa.

View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1890644239752786261?s=19

Si kila mtalii alietajwa hapo ukadhani ni wale watalii wa kuja kutalii (ku spend), wengine ni watalii by definition tu but in reality si watalii.
Mfano deligation from nchi za nje, study tour za wanafunzi, wakimbizi wa muda n.k kinacho angaliwa ni Uhamiaji wameripoti wageni wangapi hata kama watakua wamejirudia rudia.
Niliwahi kusoma sehemu nikaona Saudi Arabia ndio nchi inayoongoza kwa kupata watalii wengi (ín number), kumbe bana inahesabiwa mpaka Mahujaji pamoja na wale wa Hijja ndogo (Umra) ambayo hufanywa mwaka mzima .
 
Hii sirikali hamna kitu ndio maana imejaza michawa isiyo na akili hadi kupika takwimu inashindwa!
 
Nadhani wameanza kuhesabu na watalii wa ndani,

Hela nyingi inatoka kwa watalii wa nje, kwa sasa wameanza kuhesabu watalii wa ndani pia (afrika mashariki) kama nchi nyingine ndo maana unaona idadi kubwa na mapato ni kidogo
 
Hizi taarifa za serikali naona kama zinanipa maswali mengi bila majibu.

Mei 2024 aliekua waziri wa Utalii Angela Kairuki alisema kwa mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii Milioni 1.8, ambayo ilikua ni ongezeko la 96% kulinganisha na watalii laki 9 wa mwaka 2021.

Januari mwaka huu, waziri wa Utalii Pimdi Chana aliyangaza kwamba mwaka 2024 Tanzania ilipata watalii milioni 5.4.

Shida yangu inakuja, Takwimu za mapato ya utalii kutoka benki kuu zinasema mwaka 2023 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.37 kutokana na utalii na mwaka 2024 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.67 kutokana na utalii.

Sasa tukirudi kwenye takwimu, ukiangalia 2024 kulikua na ongezeko la watalii karibu 3.6 milioni, sawa na ongezeko la 200% kutoka idadi ya watalii wa 2023 lakini mapato yameongezeka kwa kama 9% wakati idadi ya watalii imeongezeka kwa 200%.

Labda wataalamu mnisaidie kuelewa hizi takwimu zilivyokaa.

View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1890644239752786261?s=19

Hivi ni kudhihirisha kuwa data tunaopewa na serikali hii nyingi ni za kupikwa. Ukipika data madhara yake ndiyo hayo. Watu husema ukiwa mwongo usiwe msahaulifu.,Hizo data ni za uongo 100%
 
Hizi taarifa za serikali naona kama zinanipa maswali mengi bila majibu.

Mei 2024 aliekua waziri wa Utalii Angela Kairuki alisema kwa mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii Milioni 1.8, ambayo ilikua ni ongezeko la 96% kulinganisha na watalii laki 9 wa mwaka 2021.

Januari mwaka huu, waziri wa Utalii Pimdi Chana aliyangaza kwamba mwaka 2024 Tanzania ilipata watalii milioni 5.4.

Shida yangu inakuja, Takwimu za mapato ya utalii kutoka benki kuu zinasema mwaka 2023 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.37 kutokana na utalii na mwaka 2024 Tanzania iliingiza Dollar Bilioni 3.67 kutokana na utalii.

Sasa tukirudi kwenye takwimu, ukiangalia 2024 kulikua na ongezeko la watalii karibu 3.6 milioni, sawa na ongezeko la 200% kutoka idadi ya watalii wa 2023 lakini mapato yameongezeka kwa kama 9% wakati idadi ya watalii imeongezeka kwa 200%.

Labda wataalamu mnisaidie kuelewa hizi takwimu zilivyokaa.

View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1890644239752786261?s=19

Nani mwenye access na account za bank za hao viongozi
 
Back
Top Bottom