maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
MwanaJF wenzangu,
Tunashukuru tumeanza wiki 1 ya mwaka 2025. Tuweke malengo ya kuhakikisha vizazi na vizazi vinaikuta sayari yetu salama.
Mimi nitafanya yafuatayo;
1. Kupanda angalau miti 5 ya matunda tofauti tofauti.
2. Kuendelea kutotumia vifungashio vya plastiki
3. Kwenda sokoni na mifuko na kapu langu (hii nimekuwa nikifanya muda mrefu).
4. Kuzima na kuwasha umeme muda unaotakiwa ili kupunguza upotevu.
5. Kutotumia vyakula na vitu vilivyopakiwa kwenye vifungashio kutoka nje ya nchi.
Wewe mwenzangu mipango Yako ni ipi ili dunia yetu iweze kuwa salama?
Tunashukuru tumeanza wiki 1 ya mwaka 2025. Tuweke malengo ya kuhakikisha vizazi na vizazi vinaikuta sayari yetu salama.
Mimi nitafanya yafuatayo;
1. Kupanda angalau miti 5 ya matunda tofauti tofauti.
2. Kuendelea kutotumia vifungashio vya plastiki
3. Kwenda sokoni na mifuko na kapu langu (hii nimekuwa nikifanya muda mrefu).
4. Kuzima na kuwasha umeme muda unaotakiwa ili kupunguza upotevu.
5. Kutotumia vyakula na vitu vilivyopakiwa kwenye vifungashio kutoka nje ya nchi.
Wewe mwenzangu mipango Yako ni ipi ili dunia yetu iweze kuwa salama?