Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hawa wabunge na Mawaziri kiuhalisia hawakupaswa kuendelea kuishi hivi kisiasa. walipaswa kabisa wawe ni marehemu kwa huu uhuni wanaotufanyia. walipaswa kisiasa wawe maiti wao na kiongozi wao. wakutwe na political death. yes. nipo serious. wafe kisiasa.
mwaka 2025 tusipepese macho. ni kuwa nyoa nywele zote na kuwachuna ngozi za kichwani kisha kuwaweka juani ,mchana kuanzia saa 6 mpaka saa 10 alasiri chini ya mti mkavu. wakae juani muda huo kufanya akili zao zipate joto zilainike ziwe zimeganda. kama zilivyo kwa sasa zimeganda sana hakuna ambacho wanawaza.
mwaka 2025 tusipepese macho. ni kuwa nyoa nywele zote na kuwachuna ngozi za kichwani kisha kuwaweka juani ,mchana kuanzia saa 6 mpaka saa 10 alasiri chini ya mti mkavu. wakae juani muda huo kufanya akili zao zipate joto zilainike ziwe zimeganda. kama zilivyo kwa sasa zimeganda sana hakuna ambacho wanawaza.