Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Hakuna upinzani sasa. Maana sio Chdema au wenzao wote ni sehemu ya CCM.
Hili la maridhiano ni porojp tu na hizi ni uganga njaa wa kisiasa.
Sasa kwa nini tuchague vyama ambavyo ni CCM b, c au d. Bora kuchagua CCM yenyewe tu kuliko kuchagua wanaoigiza upinzani feki
Najua wanaChadema wengi mmeanza kuzunguka majimboni mkidhania mtarudi. Hapana, mambo yatakuwa kama 2020
Hili la maridhiano ni porojp tu na hizi ni uganga njaa wa kisiasa.
Sasa kwa nini tuchague vyama ambavyo ni CCM b, c au d. Bora kuchagua CCM yenyewe tu kuliko kuchagua wanaoigiza upinzani feki
Najua wanaChadema wengi mmeanza kuzunguka majimboni mkidhania mtarudi. Hapana, mambo yatakuwa kama 2020