Mwaka 47 ni mwaka upi? Na ni nini haswa kilitokea?

prof J aliimba;
Bongo ya sasa siyo ya mwaka 47, hadi bibi kizee anafanya ukahaba.
vichochoro vya mwananyamala wanakaba roba za mbao....
 
Nilinunua hiki kiwanja kidogo last year so bado naendelea na ujenzi mkuu, so far nimejenga one room, wash room, kitchen na nimezungushia uzio....so mdogo mdogo mpaka nishushe kitu cha ukweli mungu akipenda...ww una nini Raia Fulani?

kumbe nilikusoma vibaya. Hongera lakini
 

1947
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…