Yani hata sielewi,
manake mke wa jirani yetu (baba john) ni mama lishe,
sasa mumewe hapendi kabisa watoto wake wafanye uchochezi, kwasababu anahofia wanae ni watundu sana na huenda wakapata madhara wakiwa jikoni wakati wa kuchochea kuni,
sasa labda aliwaita jina la John kutokana na utundu wa Faru john