Mwaka huu ( 2021 ) Israeli Mtoa Roho anaupiga mwingi sana kwa wenye Majina yao nchini Tanzania

Mwaka huu ( 2021 ) Israeli Mtoa Roho anaupiga mwingi sana kwa wenye Majina yao nchini Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimekutana na bonge la Foleni Daraja la Kijazi wakati nikitokea Stendi ya Magufuli ili niwahi kupita Daraja la Mfugale kuelekea Nyumbani tayari kwa Kujiandaa na Safari yangu ya kwenda Mkoani Dodoma Kesho ili nikatembelee pia Soko la Ndugai ambalo nasikia kutokana na lilivyoharibika japo lilijengwa na Wakandarasi wa Bombay India linaweza lisidumu mpaka 2025.

Israeli Mtoa Roho anaupiga mwingi tu.
 
🤔🤔🤔🤔🤔!!! Dah... Mpaka bwana Jobo wimbi la 3 lishamfikia?
Kuna Mzee Mmoja nakumbuka aliwahi Kuniambia kuwa ukiwa maarufu sana au Mtu muhimu mno katika nchi au jamii usipende sana Jina lako Kutumika kama Kumbukumbu huku ukiwa bado Hai kwani kwa 85% ni kama Unachuliwa tu Kifo na kupewa Nuksi fulani hivi ila ukifa ndiyo inapendeza Kuitwa.
 
Hivi yule jamaa wa ✌️alisema chochote juu ya soko lile pale Dodoma? Acha tuone maneno yake anajidai mtabiri
 
Kuna Mzee Mmoja nakumbuka aliwahi Kuniambia kuwa ukiwa maarufu sana au Mtu muhimu mno katika nchi au jamii usipende sana Jina lako Kutumika kama Kumbukumbu huku ukiwa bado Hai kwani kwa 85% ni kama Unachuliwa tu Kifo na kupewa Nuksi fulani hivi ila ukifa ndiyo inapendeza Kuitwa.
Kama kuna kaukweli flani hivi....
 
Kama kuna kaukweli flani hivi....
Jina la Mtu linatakiwa litumike kama Kumbukumbu ya Kitu pale tu akiwa ameshafariki ( amekufa ) ila likitumika akiwa bado Hai ni kumtafutia tu Nuksi na hatodumu sana na atakufa.
 
Nimekutana na bonge la Foleni Daraja la Kijazi wakati nikitokea Stendi ya Magufuli ili niwahi kupita Daraja la Mfugale kuelekea Nyumbani tayari kwa Kujiandaa na Safari yangu ya kwenda Mkoani Dodoma Kesho ili nikatembelee pia Soko la Ndugai ambalo nasikia kutokana na lilivyoharibika japo lilijengwa na Wakandarasi wa Bombay India linaweza lisidumu mpaka 2025.

Israeli Mtoa Roho anaupiga mwingi tu.
hati nzuri sana,hongeraa
 
Back
Top Bottom