Handsome Boy 2014
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 605
- 151
Kwa mujibu wa TCU guide book2014/15 inasema Principal pass ni A to C na D ni pass.
Pia imesema ili mwanafunzi ajiunge na chuo kikuu anatakiwa kuwa na angalau Pass (D) mbili.Na ukiangalia mfano mtu mwenye DDF ana Div 4 ya 17,kwahiyo huyu amekidhi(qualify) kujiunga na Chuo kikuu.
Pia imesema ili mwanafunzi ajiunge na chuo kikuu anatakiwa kuwa na angalau Pass (D) mbili.Na ukiangalia mfano mtu mwenye DDF ana Div 4 ya 17,kwahiyo huyu amekidhi(qualify) kujiunga na Chuo kikuu.