Hahaha kwani kuomba ndio kupata?,,unakuta kozi inahitaji watu 70,waliyomba wako 1200,division one peke yako wako 160,kama mwenye div one mwenyewe atakosa wewe mwenye DDF utapata.
Hapo wamefanya hivo ili usijesema hujapewa nafasi na kumbuka kuomba chuo siobure unalipia,,,
Kwa mtazamo wako ukienda KIU utacheka ufe kuna kozi nyingine cut point ni point 2 tu,ina mana mwenye EEF ana haki ya kuomba.Hapondio utashangaa chuo kina uwezo wa kuchukua wanafunzi 150 waliomba wako 3000 kati ya hao 3000 wapo fresh f6,waliotoka makazini nk