Mwaka huu hakukua na mkono wa chrismass wala salamu za chrismass: Tamaduni zimekiukwa?

Mwaka huu hakukua na mkono wa chrismass wala salamu za chrismass: Tamaduni zimekiukwa?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Chrismass ya mwaka huu haikuwa na mkono wa serikali katika maeneo matatu naomba niyataje
1. Hakukuwa na mkesha wa kitaifa wa chrismass

2. Serikali haikutoa mkono wa chrismass

3. Siku ya chrismass umoja wa makanisa ya kikiristo, Roma uandaa misa ya kitaifa ambapo mara nyingi katika Misa hiyo ualikwa kiongoz wa nchi au mwakilishi. Safari hii kimya kimya

Je tukisherekea sikukuu nyingine za kidini serikali itakaa kimya kama tukio la chrismass?
 
Kwa hayo uliyoyataja kutokea, kuna sheria ya nchi au dini iliyovunjwa?
 
Ishu ya corona na vitu bei kuwa juu vimeifanya sikukuu kuwa anasa
 
Chrismass ya mwaka huu haikuwa na mkono wa serikali katika maeneo matatu naomba niyataje
1. Hakukuwa na mkesha wa kitaifa wa chrismass

2. Serikali haikutoa mkono wa chrismass

3. Siku ya chrismass umoja wa makanisa ya kikiristo, Roma uandaa misa ya kitaifa ambapo mara nyingi katika Misa hiyo ualikwa kiongoz wa nchi au mwakilishi. Safari hii kimya kimya

Je tukisherekea sikukuu nyingine za kidini serikali itakaa kimya kama tukio la chrismass?
Kumbuka tuna rais mdini japo kwaaisha yake hana uchamungu hata kidogo
 
Kwa sasa tuna rais asiyeiamini Christmas. Tuna rais ambaye ni mdini hasa. Amejaa uzanzibari kuliko utanzania. Anachukia ukanda ya ziwa na ukaskazini. Hizi kanda ndizo zenye wakristo wengi.
 
Back
Top Bottom