Mwaka huu pekee nimewadunga mimba wanawake watatu, sipati usingizi

Mwaka huu pekee nimewadunga mimba wanawake watatu, sipati usingizi

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Mwezi wa March mwaka huu Somoe alinipigia simu kuwa Valentine day imejibu,maana tulioelekeana moto akiwa kwenye danger days, Nikamwambia wow! Haina shida nitalea. Mwezi wa sita ndani ya wiki mbili Herieth na Tina nao wakasema hawazioni siku zao

Uwezo wangu ni mdogo sana kulea hizo mimba tatu na hao watoto. Usiku sipati usingizi huu mwaka wangu...... Ukiondoa Tina mwenye kipato cha maana hao wawili ni hawana uwezo na ni pasua kichwa.mara niletee ice cream, mara mtoto wako anataka kuku hizo ni mimba tu wakizaliwa ntakoma

Mwamposa nakuja kanisani jumapili,nimekosa mimi nimekosa mimi ,nimekosa sana.sasa naokoka
 
Mwezi wa March mwaka huu Somoe alinipigia simu kuwa Valentine day imejibu,maana tulioelekeana moto akiwa kwenye danger days,
Nikamwambia wow! Haina shida nitalea.

Mwezi wa sita ndani ya wiki mbili Herieth na Tina nao wakasema hawazioni siku zao
Uwezo wangu ni mdogo sana kulea hizo mimba tatu na hao watoto.
Usiku sipati usingizi .huu mwaka wangu......
ukiondoa Tina mwenye kipato cha maana hao wawili ni hawana uwezo na ni pasua kichwa.mara niletee ice cream ,mara mtoto wako anataka kuku .hizo ni mimba tu wakizaliwa ntakoma

Mwamposa nakuja kanisani jumapili,nimekosa mimi nimekosa mimi ,nimekosa sana.sasa naokoka
These is jokes
 
Mwezi wa March mwaka huu Somoe alinipigia simu kuwa Valentine day imejibu,maana tulioelekeana moto akiwa kwenye danger days,
Nikamwambia wow! Haina shida nitalea.

Mwezi wa sita ndani ya wiki mbili Herieth na Tina nao wakasema hawazioni siku zao
Uwezo wangu ni mdogo sana kulea hizo mimba tatu na hao watoto.
Usiku sipati usingizi .huu mwaka wangu......
ukiondoa Tina mwenye kipato cha maana hao wawili ni hawana uwezo na ni pasua kichwa.mara niletee ice cream ,mara mtoto wako anataka kuku .hizo ni mimba tu wakizaliwa ntakoma

Mwamposa nakuja kanisani jumapili,nimekosa mimi nimekosa mimi ,nimekosa sana.sasa naokoka
Pambana na hali yako
 
Mwezi wa March mwaka huu Somoe alinipigia simu kuwa Valentine day imejibu,maana tulioelekeana moto akiwa kwenye danger days,
Nikamwambia wow! Haina shida nitalea.

Mwezi wa sita ndani ya wiki mbili Herieth na Tina nao wakasema hawazioni siku zao

Uwezo wangu ni mdogo sana kulea hizo mimba tatu na hao watoto.
Usiku sipati usingizi huu mwaka wangu......

Ukiondoa Tina mwenye kipato cha maana hao wawili ni hawana uwezo na ni pasua kichwa.mara niletee ice cream, mara mtoto wako anataka kuku hizo ni mimba tu wakizaliwa ntakoma

Mwamposa nakuja kanisani jumapili,nimekosa mimi nimekosa mimi ,nimekosa sana.sasa naokoka

TIGO jaza ujazwe nahisi nimeeleweka
 
Hii imeshawahi kumtokea neighbor wangu mmoja,yeye aliwapa wanawake wanne Kwa wakati mmoja,aisee alichanganyikiwa.Siku nilimkuta hospital Kalala kwenye zile bench anakoroma.Nikamshtua kasema hajui hata kafikaje hapo hospital.
 
Ukitaka kujua umejichanganya subiri wakati wakusomesha. Watoto watatu wote the same age wanataka ada wote na wamama wakileo wanapenda watoto wao wasome Englishmedium. Utajuta. Tunamifano
 
Back
Top Bottom