Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Ndiyo balaa la Jwaneng Galaxy wanajisahaulisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio unataka kusemaje??Ndiyo balaa la Jwaneng Galaxy wanajisahaulisha
Ndo nshasema makolo kwendeni shirikishoKwahio unataka kusemaje??
Sawa,haya kanywe uji ulaleNdiyo balaa la Jwaneng Galaxy wanajisahaulisha
Alafu Walivyo wapuuzi Wana kwambia Simba timu Kubwa, Unatolewa na timu kutoka Botswana Tena Nyumbani, Unafungwa na timu kutoka Djibut Tena Nyumbani Mimi Sijawahi kuona Timu ya Tanzania inatolewa au kufungwa na timu kutoka Mataifa ayo tangu naanza kufuatilia mpira.Ndiyo balaa la Jwaneng Galaxy wanajisahaulisha
akikujibu nitag nipo nimekaa palee[emoji117]Baada ya kupigwa na jwaneng wakaenda wapi ndugu mcha[emoji238]
Halafu ikafika robo fainali shirikishoMwaka jana Simba ilianza hivi hivi 2 -0 ikaja kutolewa Kwa mkapa 3-1
Timu haina straiker wala kocha inaazaje kukunyima usingizi mwananchi uliyesheheni kila aina ya vipaji kuanzia langoni,kati pembeni?Utopolo katika udhaifu wao. Simba inawanyima usingizi nyie watu......
Ni kubwaaa hata ushupaze misuli. Nyie saizi yenu ni hao hao Zalan. Acha kukariri eti sijawahi ona timu ikitolewa na timu za huko,vipi ushaona mechi ngapi zikichezwa na hao na timu za Tanzania?Alafu Walivyo wapuuzi Wana kwambia Simba timu Kubwa, Unatolewa na timu kutoka Botswana Tena Nyumbani, Unafungwa na timu kutoka Djibut Tena Nyumbani Mimi Sijawahi kuona Timu ya Tanzania inatolewa au kufungwa na timu kutoka Mataifa ayo tangu naanza kufuatilia mpira.
Iyo ni Dalili mbaya sana katika mpira wetu.
Bado nyie ni watoto kimataifa yani watoto wachanga wakulia Yan'gaaaaa yan'gaaaaaTimu haina straiker wala kocha inaazaje kukunyima usingizi mwananchi uliyesheheni kila aina ya vipaji kuanzia langoni,kati pembeni?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Iyo game viongozi ndo wakulaumiwaAlafu Walivyo wapuuzi Wana kwambia Simba timu Kubwa, Unatolewa na timu kutoka Botswana Tena Nyumbani, Unafungwa na timu kutoka Djibut Tena Nyumbani Mimi Sijawahi kuona Timu ya Tanzania inatolewa au kufungwa na timu kutoka Mataifa ayo tangu naanza kufuatilia mpira.
Iyo ni Dalili mbaya sana katika mpira wetu.
Kutenda kosa sio kosa kosa kutudia kosaaaNdiyo balaa la Jwaneng Galaxy wanajisahaulisha