Mwaka Mpya na Maisha Mapya... Ooh, Glory to God!


wo wow wow i see,mpe w´hi sana mshikaji wangu lulu ze pearl,na nyie nawatakia heri ya mwaka mpya,mwambie pearl anavyopotea hivyo siku akirudi hatutampokea tutamsusa.
 
wo wow wow i see,mpe w´hi sana mshikaji wangu lulu ze pearl,na nyie nawatakia heri ya mwaka mpya,mwambie pearl anavyopotea hivyo siku akirudi hatutampokea tutamsusa.

teh teh................... lulu yuko bize bana, hujui tunalea siku hizi??.................... but nitamfikishia salam zako na stay tuned nitampa karuhusa kafupiiiii aje kuchungulia huku ajibu mwenyewe maswali yake....................... ila msimsuse aisee, mkiimsusa na mimi naisusa JF moja kwa moja......................
 

hongereni sana kwa kulea,ntakuja kumlelea mtoto zawadi,ila inakuaje unamkataza mtu kufika sehemu uliyompatia mkuu,haiwezekani,free lulu free pearl.
 
hongereni sana kwa kulea,ntakuja kumlelea mtoto zawadi,ila inakuaje unamkataza mtu kufika sehemu uliyompatia mkuu,haiwezekani,free lulu free pearl.

asee karibu sana bibie mbezi luis..................lulu yuko free bana acha hizo harakati zako za kupigania uhuru wa pearl................. unajua shem wakati mwingine kale ka ugonjwa ketu ka wivu ndo huwa kanasumbua,,................. yaani mtu unajisikia kama vile akija huku JF atarushiwa ma-piiem weeeee............... khaaaa!!..................... nafikiri kwa kuwa kishapatikana na aliyekuwa akimhitaji, basi atulie tu kwa sasa.......................
 

thanx shem,kama wako wako tu,mpe uhuru ili azoee majaribu,inakuaje ww uone wivu yeye kuja huku kisa unaogopa atarushiwa mipiemu mbona wewe unakuja,tutahakikisha vipi kuwa hurushi vipiem vya hapa na pale
 

Amen! Mungu awatangulie kwa kila jambo! Tupo pamoja ktk ulimwengu wa roho. Lakn pia nkumbken nami nategemea kuoa october!
Lets th great Glory b upon u!
 
thanx shem,kama wako wako tu,mpe uhuru ili azoee majaribu,inakuaje ww uone wivu yeye kuja huku kisa unaogopa atarushiwa mipiemu mbona wewe unakuja,tutahakikisha vipi kuwa hurushi vipiem vya hapa na pale

hapo pa kuzoea majaribu pagumu kwa kweli.................. si unaona Jf ilivyobadilika siku hizi, watu wanarusha ndoano hata kwa madume menzao, sembuse malaika wangu Lulu??..................... kwa hilo nasema big noooo, never!!........................

mi ananijua ni longolongo tu hapa jamvini na kwake nimefulia kabisaaaaaaaaaaa siwezi chomoka, ...................so anajua kuwa vipiiemu vyangu vya hapa na pale havina madhara kwa binadamu.......................... ananiamini na hana wasiwasi kabisa..................... teh teh..................... long live my dear Pearl!!.................

he!.................... tusijekuwa tunachakachua sredi ya watu....................... wenyewe wanakata mbuga kwenda kuolewa................ teh teh........................ JF bana............................
 
thanx shem,kama wako wako tu,mpe uhuru ili azoee majaribu,inakuaje ww uone wivu yeye kuja huku kisa unaogopa atarushiwa mipiemu mbona wewe unakuja,tutahakikisha vipi kuwa hurushi vipiem vya hapa na pale

Mnanisema eeeeeeh?
 
Mnanisema eeeeeeh?


sasa roho yangu imetulia,we mdada vibaya hivyo,ndo nin kutuacha wenzio na upweke wa kukumiss,welcome back na usipotee tena please,i missed u sweet pearl.Heri ya mwaka mpya mpendwa wangu.
 

God forbid,hapo pekundu uliyajuaje hayo shem wangu.?
 
sasa roho yangu imetulia,we mdada vibaya hivyo,ndo nin kutuacha wenzio na upweke wa kukumiss,welcome back na usipotee tena please,i missed u sweet pearl.Heri ya mwaka mpya mpendwa wangu.

Cjambo love,Mungu ni mwema tumeuona mwaka,miss u sana swty love
 
Cjambo love,Mungu ni mwema tumeuona mwaka,miss u sana swty love

mi sijaridhika kwa kweli.................. maneno kama hayo kwenye bold mdada kumwambia mwenziye???!!................. hivi mods wako wapi wajameni ....................... bahati yenu sijakiona kidude cha ................
................. ningewasemelea!!..........
 

Kila la kheri Miss (Mrs) Judith!
 
Last edited by a moderator:
karibu sana ktk chama kiki cha walala uchi,ukitaka kiwe kibaya ama kizuri ni wewe mwenyewe!mungu awe nawe
 
Glory to God, All the best Ms Judith, Mungu aliyeanza kazi njema, aendelee kuwa pamoja nanyi.
 
Wengine wanatamani kuingia, wengine wanatamani kutoka. All da best Miss Judith, Mungu akutangulie ktk kila hatua hadi siku ya harusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…