Mwaka mpya unahitaji ukurasa mpya, sio na wapenzi wapya jamani!!

Mwaka mpya unahitaji ukurasa mpya, sio na wapenzi wapya jamani!!

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,684
Reaction score
2,156
Tunapouanza mwaka mpya ni vizuri tukafungua ukurasa mpya wa kitabu kilekile cha mapenzi huku tukipekua nyuma na kuyarekebisha yaliyokuwa makosa, kuboresha zaidi palipoelekea kudhoofu na kutia zege yaliyokuwa mazuri! Ni ajabu tukiruhusu kuendelea na yaliyo maovu au kubadili wapenzi! Jiulize kama hiyo ndo slogan yako utabadili hadi lini?? HAPPY NEW YEAR TO ALL"" 2012 to be the best!
 
Jamani are you saying hata kama Mpenzi wako hakufai uendelee kung'ang'ania?
 
Kwani siku hizi kuna mpenzi mpya?mbona mi naona wote used.ni mtazamo tu
 
Kama nilijua, mie wakwangu nilikaa naye usiku wa tarehe 31.12.11 pamoja na mambo mengine na hili lilikuwa moja ya agenda zetu - kwa uwaza wake MOLA tunategemea kuwa mambo yatakuwa tambarare.
 
kwani kama hafai unangoja hadi mwa umalizike,? si utakufa kwa kichef chefu.
 
Kwani wewe ulimkuta bikra??jiulize wewe wangapi??mwaka mpya mambo mapya with new test!!
 
yaani unataka maumivu ya mwaka jana nije nayo mwaka huu mzuri ambao kila mtu kantakia kheri? haiwezekani. mwaka mpya na mambo mapya. Mia
 
Back
Top Bottom