Mwaka mpya uswazi

Mwaka mpya uswazi

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Leo mimi na mke wangu mkubwa,tuliamua kuupokea mwaka 2025 kwenye baa moja hapa mwanza uswazi,kwakuwa hatukuwa na kipato cha kutosha.Tumekunywa bia za Tanzania na kuku wa kienyeji na tumefurahi sana,tukampigia simu mke wangu mdogo ambae yuko nje ya nchi na watoto wetu pia wote tukaongea nao.Tumekitana na watu wengi na wote tukafurahi sana bila kujali,majina yetu,makabila yeyu,vipato vyetu,tumafurahi sana.Asante Mungu
 
Leo mimi na mke wangu mkubwa,tuliamua kuupokea mwaka 2025 kwenye baa moja hapa mwanza uswazi,kwakuwa hatukuwa na kipato cha kutosha.Tumekunywa bia za Tanzania na kuku wa kienyeji na tumefurahi sana,tukampigia simu mke wangu mdogo ambae yuko nje ya nchi na watoto wetu pia wote tukaongea nao.Tumekitana na watu wengi na wote tukafurahi sana bila kujali,majina yetu,makabila yeyu,vipato vyetu,tumafurahi sana.Asante Mungu
Hata Burundi ni nje ya Tanzania
 
Leo mimi na mke wangu mkubwa,tuliamua kuupokea mwaka 2025 kwenye baa moja hapa mwanza uswazi,kwakuwa hatukuwa na kipato cha kutosha.
Amina furaha mtu unatengeneza mwenyewe


Je, wewe na mke mdogo mna kipato cha kutosha?
 
Leo mimi na mke wangu mkubwa,tuliamua kuupokea mwaka 2025 kwenye baa moja hapa mwanza uswazi,kwakuwa hatukuwa na kipato cha kutosha.Tumekunywa bia za Tanzania na kuku wa kienyeji na tumefurahi sana,tukampigia simu mke wangu mdogo ambae yuko nje ya nchi na watoto wetu pia wote tukaongea nao.Tumekitana na watu wengi na wote tukafurahi sana bila kujali,majina yetu,makabila yeyu,vipato vyetu,tumafurahi sana.Asante Mungu
Kimsingi maisha yapo uswahilini
 
Leo mimi na mke wangu mkubwa,tuliamua kuupokea mwaka 2025 kwenye baa moja hapa mwanza uswazi,kwakuwa hatukuwa na kipato cha kutosha.Tumekunywa bia za Tanzania na kuku wa kienyeji na tumefurahi sana,tukampigia simu mke wangu mdogo ambae yuko nje ya nchi na watoto wetu pia wote tukaongea nao.Tumekitana na watu wengi na wote tukafurahi sana bila kujali,majina yetu,makabila yeyu,vipato vyetu,tumafurahi sana.Asante Mungu
Picha iko wapi?
 
Mkuu umenifuraisha, hujaja na mbwembwe nyingi za Hennessy, umekuwa.
Umekula bata kwa kiwango chako
 
Back
Top Bottom