Mwaka umeisha wale ambao bado tunaish kwa wazaz tukutane hapa ni lin tutajitegemea?

Mwaka umeisha wale ambao bado tunaish kwa wazaz tukutane hapa ni lin tutajitegemea?

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa

Mwaka ndo huo umesepa
Tumeongeza miaka kazaa
Kuna wengine mwaka umeisha lakin bado tunaish kwa wazazi

Mwaka umeisha beira sijafanya lolote kabisa

Bado naish kwa wazaz wangu sijajitegemea bado

Mwaka unaokuja nataka na mimi niondoke home nikaanzishe maisha yangu aisee

Maana sasa nimekua na mda unayoyoma

Vp wewe mwenzangu lin utajitegemea?


LONDON BABY
 
Back
Top Bottom