Mwaka unaisha hivyo ni harusi moja pekee niliyoalikwa, ni tofauti na miaka ya nyuma.
Labda pengine mlolongo wa matukio kadhaa umefanya mwaka huu kutokuwa kwenye mipango ya kuoa kwa vijana mabachela naowajua, maana kama ni michango ipo.
Pengine nikadhani labda tatizo ni uchumi ila nimekataa kwasababu kazini kuna vijana mabachela na wana uwezo mpaka wa kugharamia harusi, ni jambo la kusikitisha
hali kwenu vipi
Labda pengine mlolongo wa matukio kadhaa umefanya mwaka huu kutokuwa kwenye mipango ya kuoa kwa vijana mabachela naowajua, maana kama ni michango ipo.
Pengine nikadhani labda tatizo ni uchumi ila nimekataa kwasababu kazini kuna vijana mabachela na wana uwezo mpaka wa kugharamia harusi, ni jambo la kusikitisha
hali kwenu vipi