Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mbali na sheria kutaka mapato ya serikali kuwasilisha katika Mfuko Mkuu wa Serikali, Mwaka wa Fedha 2019/20 kiasi cha Tsh. Bilioni 132.08 kilitumika bila kuripotiwa
Kiasi hicho kimepungua kwa 76% ambapo mwaka wa fedha 2018/19 kiasi cha Tsh. Billioni 553.38 kilitumika bila kuripotiwa
Aidha katika mwaka wa fedha 2019/20 kiasi cha Tsh. Bilioni 2,025.67 zilipelekwa moja kwa moja kwenye miradi bila kupelekwa Hazina kama Sheria inavyotaka
Kiasi hicho kimepungua kwa 76% ambapo mwaka wa fedha 2018/19 kiasi cha Tsh. Billioni 553.38 kilitumika bila kuripotiwa
Aidha katika mwaka wa fedha 2019/20 kiasi cha Tsh. Bilioni 2,025.67 zilipelekwa moja kwa moja kwenye miradi bila kupelekwa Hazina kama Sheria inavyotaka