Freightliner JF-Expert Member Joined Aug 22, 2013 Posts 720 Reaction score 527 Sep 26, 2013 #1 Ni kwamba wale wote waliofungua vyuo kwa mwaka wa kwanza watarudi nyumbani kupisha mafunzo ya jkt awamu ya 3 SOURCE:MWALIMU
Ni kwamba wale wote waliofungua vyuo kwa mwaka wa kwanza watarudi nyumbani kupisha mafunzo ya jkt awamu ya 3 SOURCE:MWALIMU
man of steel JF-Expert Member Joined Jul 16, 2013 Posts 1,099 Reaction score 2,354 Sep 26, 2013 #2 sawa watapisha awamu ya tatu kumbuka yale majina yameishia J na waliobaki je...?? kama wataenda hiko chuo kitakua lini na hiyo source yako ni mwalimu wa chuo gani....?
sawa watapisha awamu ya tatu kumbuka yale majina yameishia J na waliobaki je...?? kama wataenda hiko chuo kitakua lini na hiyo source yako ni mwalimu wa chuo gani....?
xir jyerphy JF-Expert Member Joined Jul 12, 2013 Posts 994 Reaction score 184 Sep 26, 2013 #3 Freightliner said: Ni kwamba wale wote waliofungua vyuo kwa mwaka wa kwanza watarudi nyumbani kupisha mafunzo ya jkt awamu ya 3 SOURCE:MWALIMU Click to expand... Huyo mwalimu ana hekima sana... tena ikiendelea atakuwa kama mwl. JK Nyerere
Freightliner said: Ni kwamba wale wote waliofungua vyuo kwa mwaka wa kwanza watarudi nyumbani kupisha mafunzo ya jkt awamu ya 3 SOURCE:MWALIMU Click to expand... Huyo mwalimu ana hekima sana... tena ikiendelea atakuwa kama mwl. JK Nyerere