Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Mwaka huu mwaka wa neema sana, japo changamoto hazikosekani kabisaa.
Wale wenzangu na mimi wa kununua mazao na kuyatunza na kusubiri bei ipandee mwaka huu mnatakiwa kitumia hesabu kali sana za if X=Y, then find X.
Hivyo, kuna mawili, chakula kuwa kingi na kushuka bei kwa kua mvua ilikua ya uhakika, au mvua imezidi ikaondoa kila kitu.
Mpaka sasa nikipig simu huku na kile naambiwa mwaka huu neema, mpunga unachanua mpaka wanafunga maji, mtama,uwele,ni hatari zinachanua
Nahisi Alizeti mwaka huu zitakua dili sanaa.
Nimewaachia tafakuri hii ya usiku
Asanteni
Wale wenzangu na mimi wa kununua mazao na kuyatunza na kusubiri bei ipandee mwaka huu mnatakiwa kitumia hesabu kali sana za if X=Y, then find X.
Hivyo, kuna mawili, chakula kuwa kingi na kushuka bei kwa kua mvua ilikua ya uhakika, au mvua imezidi ikaondoa kila kitu.
Mpaka sasa nikipig simu huku na kile naambiwa mwaka huu neema, mpunga unachanua mpaka wanafunga maji, mtama,uwele,ni hatari zinachanua
Nahisi Alizeti mwaka huu zitakua dili sanaa.
Nimewaachia tafakuri hii ya usiku
Asanteni