mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Ndio hivyo nina mwaka wa 5 sasa JF am going to be legend ,nakumbuza enzi naanza kuingia JF nilikua na energy ,misuli etc kila Avatar inayovutia ikigonga gonga like,kuni comment au ku quote nilikua natambaa nayo sambamba [emoji23][emoji23] ,lakini haimaanishi kama nilikua nawapata hapana..ili mradi tu nikidhi ile haja ya kiume tabia kama ya kuku kijogoo..lazima aonekane anafukuza mitetea" .
Sometimes unakutana na washikaji wako wa "chama" unampa stories kumbe na yeye alishapita nae au mtu wa karibu yake hii inaitwa networking
Ama kweli enzi zinabadilika nakumbuka kuna ma brothermen wao style zao ili waonekane active na smart walikua wanatunga sana mashairi na kuanzisha stories sijui wako wapi siku hizi [emoji23], najua mnajijua ..
No offence
Good day Tchao
Sometimes unakutana na washikaji wako wa "chama" unampa stories kumbe na yeye alishapita nae au mtu wa karibu yake hii inaitwa networking
Ama kweli enzi zinabadilika nakumbuka kuna ma brothermen wao style zao ili waonekane active na smart walikua wanatunga sana mashairi na kuanzisha stories sijui wako wapi siku hizi [emoji23], najua mnajijua ..
No offence
Good day Tchao