Henge JF-Expert Member Joined May 14, 2009 Posts 6,933 Reaction score 1,511 Sep 22, 2010 #21 Mr. Zero said: Hivi kuna wilaya ngapi Tanzania?? Maana kina kukicha nasikia mtu kaahidiwa u-DC!!! Click to expand... Hiyo lahisi saana nikuzifanya tarafa zoote nchini ziwe wilaya simple sasa nani atakosa uongozi hapo fadhila lazima zilipwe tuu!!
Mr. Zero said: Hivi kuna wilaya ngapi Tanzania?? Maana kina kukicha nasikia mtu kaahidiwa u-DC!!! Click to expand... Hiyo lahisi saana nikuzifanya tarafa zoote nchini ziwe wilaya simple sasa nani atakosa uongozi hapo fadhila lazima zilipwe tuu!!
mchonga JF-Expert Member Joined Dec 3, 2006 Posts 1,233 Reaction score 248 Sep 22, 2010 #22 vaticano said: aliyeshangiliwa ni mwanachama wa ccm. Kashangiliwa kwenye mkutano wa kampeni ya mgombea wa ccm. Nyie kelele kama wendawazimu za nini? Click to expand... wee vaticano acha kutumia hilo jina la mji mtakatifu wakati unashabikia mafisadi. Papa hapendi ufisadi
vaticano said: aliyeshangiliwa ni mwanachama wa ccm. Kashangiliwa kwenye mkutano wa kampeni ya mgombea wa ccm. Nyie kelele kama wendawazimu za nini? Click to expand... wee vaticano acha kutumia hilo jina la mji mtakatifu wakati unashabikia mafisadi. Papa hapendi ufisadi
Kudadeki JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 859 Reaction score 52 Sep 24, 2010 #23 mchonga said: wee vaticano acha kutumia hilo jina la mji mtakatifu wakati unashabikia mafisadi. Papa hapendi ufisadi Click to expand... Papa mwenyewe fisadi. Sijui atakuwa keshawalawiti watoto wangapi kabla ya ule moshi mweupe kumuwakia. Teh teh teh.
mchonga said: wee vaticano acha kutumia hilo jina la mji mtakatifu wakati unashabikia mafisadi. Papa hapendi ufisadi Click to expand... Papa mwenyewe fisadi. Sijui atakuwa keshawalawiti watoto wangapi kabla ya ule moshi mweupe kumuwakia. Teh teh teh.
TIMING JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 28,186 Reaction score 15,549 Sep 24, 2010 #24 Mr. Zero said: Hivi kuna wilaya ngapi Tanzania?? Maana kina kukicha nasikia mtu kaahidiwa u-DC!!! Click to expand... zipo nyingi tu, zikiisha wataanzisha nyingine... fadhila ndio dhima ya "chama chetu"
Mr. Zero said: Hivi kuna wilaya ngapi Tanzania?? Maana kina kukicha nasikia mtu kaahidiwa u-DC!!! Click to expand... zipo nyingi tu, zikiisha wataanzisha nyingine... fadhila ndio dhima ya "chama chetu"