Mwakalebela: Simba inafunga magoli ya offside

Mwakalebela: Simba inafunga magoli ya offside

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kupitia ukurasa wa Twitter wa Darmpya Blog, imemnukuu Fredrick Mwakalebela akisema "Simba jana (Dhidi ya Kagera Sugar) wamefunga goli la Offside, goli la pili lilikuwa ni la Offside, goli la John Bocco lilikuwa ni Offside, mimi nilidhani ni beki wa Kagera kumbe ni John Bocco, Simba inafunga magoli mengi ya Offside" - Mwakalebela Makamu Mwenyekiti wa Yanga Sc"

Haya ndio maoni ya kiongozi wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, anadai kuwa Simba inafunga magoli ya offside. Huyu jamaa nimeanza kumdharau sasa, hajui anachoongea, amechanganyikiwa sasa..
 
Kuna watu wanawadanganya yanga watakuwa mabingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mechi zimebaki 7 ambazo ni point 21.
Yanga kamzidi Simba points 8.
Unapata wapi kiburi Cha kuwapa yanga ubingwa?
280150208_144838014751382_9197063352215367323_n.jpg
 
Goli la kwanza hata Mimi nilishangaa Sana ,offside flani hivi ni vile watu waliendelea kupeta tu
 
Goli la kwanza hata Mimi nilishangaa Sana ,offside flani hivi ni vile watu waliendelea kupeta tu
Kaeni kwa kutulia nyie Vyura. Kwanza ukiondoa Point 6 za kupewa waz waz kwenye mechi mlishinda kimagumashi mnaizidi Simba point 2 tu. Lkn hapo Ligi ilipofika ndio mtajua nani mtoto wa Mjini.

Leo mmeanza propaganda za Usajili wa Morrison, shauri yenu mtajikuta mnyama amebeba ndooo na mechi moja mkononi
 
Watulie wasibane mat*ko ili dawa iingie
 
Kaeni kwa kutulia nyie Vyura. Kwanza ukiondoa Point 6 za kupewa waz waz kwenye mechi mlishinda kimagumashi mnaizidi Simba point 2 tu. Lkn hapo Ligi ilipofika ndio mtajua nani mtoto wa Mjini.

Leo mmeanza propaganda za Usajili wa Morrison, shauri yenu mtajikuta mnyama amebeba ndooo na mechi moja mkononi
Morisson bora apeleke bangi zake jangwani.
 
Morisson bora apeleke bangi zake jangwani.
Hatutakiwi kujadili chochote kuhusu Usajili. Tujadili kuhusu SIMBA KUTETEA UBINGWA WAKE. Msimezwe na Propaganda za kuwatoa mchezoni. Tuongelee Yanga anavyoenda kupoteza dhidi ya Dodoma Jiji na Mbeya City
 
Goli la kwanza hata Mimi nilishangaa Sana ,offside flani hivi ni vile watu waliendelea kupeta tu
Mtaishia kunawa tu. Chakula hamtapata. Msosi utaliwa Unyamani . Shauri lenu. Yanga bila bahasha ya kaki haiwezi kuifunga hata s/m Nyankomogo wala Tingirima. Ukweli mchungu.
 
Mtaishia kunawa tu. Chakula hamtapata. Msosi utaliwa Unyamani . Shauri lenu. Yanga bila bahasha ya kaki haiwezi kuifunga hata s/m Nyankomogo wala Tingirima. Ukweli mchungu.
Hayo magoli ya offside bahasha hazihusiki!?
 
Kwani Simba ndio Waamuzi? Si wawalalamikie Waamuzi kukubali magoli ya Simba?
 
Back
Top Bottom