Root root AE
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 207
- 354
Habari wakuu?
Kwa atakayekua amesoma uzi wangu wa unaouliza sehemu nzuri ya kuishi kati ya Tukuyu na Kyela atakua anajua.
Kikubwa ni kwamba sehemu niliyochagua kuishi ni Tukuyu eneo la Mwakaleli kijiji cha Kandete. Ninataka nikifika ninunue shamba dogo kwaajili ya chakula (ndizi, viazi Ulaya, mboga mboga nk) na sio kwa ajili ya kujenga. Hivo naomba msaada wa kujua bei za kununua mashamba au hata kama ni kwa kukodisha zipoje?
Sitaki shamba kubwa sana, hata nusu/robo hekali itanitosha kabisaa.
Kwa atakayekua amesoma uzi wangu wa unaouliza sehemu nzuri ya kuishi kati ya Tukuyu na Kyela atakua anajua.
Kikubwa ni kwamba sehemu niliyochagua kuishi ni Tukuyu eneo la Mwakaleli kijiji cha Kandete. Ninataka nikifika ninunue shamba dogo kwaajili ya chakula (ndizi, viazi Ulaya, mboga mboga nk) na sio kwa ajili ya kujenga. Hivo naomba msaada wa kujua bei za kununua mashamba au hata kama ni kwa kukodisha zipoje?
Sitaki shamba kubwa sana, hata nusu/robo hekali itanitosha kabisaa.