Jamani hata mimi Nando kaniboaaaaaaaaaa, katia aibu nchi yetu yenye upendo na amani tele, watu wa huko nchi nyingine wanatushangaa Tanzania majanga teleeee, vijana kila pembe ya dunia wanakamatwa na madawa ya kulewa, na wengine umbeyaaaaaaa akina FEZA ndani ya BBA, na huyo nae violence Nando imemjaaa mpaka basi very stupid kids..Feza na Nando wameboaaa sanaaa bora tu warudi makwao wakagange njaa na kubeba madawa ya kulevyaa