Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
anaogpa kipondoaende nja akalete mikanda.
Um'bonde hadi aseme mke wangu nisaidieeeeeeeeHv jamaa anakaaga wapi niende nikamchapie huko nyumbani kwake
Nitamtandika barabara....Um'bonde hadi aseme mke wangu nisaidieeeeeeee
Hakuna cha saikolojia wala Mama yake saikolojia ni mshamba tuAnawavuruga mabondia wa ndani kisaikolojia
Kapigane wewe utolewe hayo meno yaliyojaa visamvuHakuna cha saikolojia wala Mama yake saikolojia ni mshamba tu
Bondia gani duniani huwa anakataa mapambano na mabondia wa ndani ya nchi yake
Wewe nenda... Kama huna nauli atalipa 😊Hakuna cha saikolojia wala Mama yake saikolojia ni mshamba tu
Bondia gani duniani huwa anakataa mapambano na mabondia wa ndani ya nchi yake
Ww acha ushoga kwenye reply za wanaume, utapumuliwa nyumaKapigane wewe utolewe hayo meno yaliyojaa visamvu
Nataka pambano langu la lake liwe laivu kwenye TV ili umma wa watanzania ujionee ninavyo mchakaza tena kwenye ukumbi mkubwa na sio mazoezini kwake ambapo nikimchakaza haitakuwa na maana mbwa yuleWewe nenda... Kama huna nauli atalipa 😊
Kupigana naye kwa hivyo alishakataa nenda kafanye sparling mazoezini tu ujipimeNataka pambano langu la lake liwe laivu kwenye TV ili umma wa watanzania ujionee ninavyo mchakaza tena kwenye ukumbi mkubwa na sio mazoezini kwake ambapo nikimchakaza haitakuwa na maana mbwa yule
Hivi mpaka Leo hii hujajua kwanini anawakataa mabondia wa ndani?Hakuna cha saikolojia wala Mama yake saikolojia ni mshamba tu
Bondia gani duniani huwa anakataa mapambano na mabondia wa ndani ya nchi yake
I don't see your boxer in a long runKupigana naye kwa hivyo alishakataa nenda kafanye sparling mazoezini tu ujipime
Kwa nini?I don't see your boxer in a long run
Sababu za kijinga tu wala hazina mantiki kwa wapenzi wa boxer nchiniHivi mpaka Leo hii hujajua kwanini anawakataa mabondia wa ndani?