Mwakinyo: Anayetaka kupigana na mimi aje mazoezini nauli nitamlipia

Mkuu, kwa MTU yeyote mfuatiliaji wa masumbwi anaelewa mbona. Watu hawapigani kama kuku bana au wagomvi
Sasa ameambiwa atapigana bure, na ndio maana mapromoter wanaweka mzigo kwanza na ukiridhia zinapigwa

Twaha kiduku ukiachana na ile Athlete ila uliwekwa na mpunga ambao kila mtu alioupata

Kama ni ndg yako mwambie aache kipumbavu na heshima inaanza kuwekwa ndani ya nyumba na ndio unaanza kutafuta heshima nje
 
natamani kesho atandikwe ili ajue dharau hazifai ,ipo siku atatamani agombanie hiyo gari na hatapata hiyo chance
 
natamani kesho atandikwe ili ajue dharau hazifai ,ipo siku atatamani agombanie hiyo gari na hatapata hiyo chance
Mimi naomba nitunze maneno yangu, yaani huyu siku yake inakuja Coz boxing kushuka viwango ni kitu cha kawaida sana halafu ni faster, siku yake inakuja huyu Mdigo
 
Mimi naomba nitunze maneno yangu, yaani huyu siku yake inakuja Coz boxing kushuka viwango ni kitu cha kawaida sana halafu ni faster, siku yake inakuja huyu Mdigo
na wala asisingizie mkanda ,huyu jamaa anamwogopa Twaha Kiduku,hata kwenye ngumi mi navutiwa na Ibra Classic ,Mwakinyo kakaa kijanja janja tu hamna lolote
 
Nendeni mkamwambie ndugu yenu heshima inaanza ndani ya nyumba halafu inafuata nje
halafu nashangaa anasemaje kiwango chake kitashuka wakati hawagombanii mkanda rekodi zinaingizwa wapi ?kwani rekodi nje ya mkanda inahesabiwa?
 
na wala asisingizie mkanda ,huyu jamaa anamwogopa Twaha Kiduku,hata kwenye ngumi mi navutiwa na Ibra Classic ,Mwakinyo kakaa kijanja janja tu hamna lolote
Yaah Ibra classic na Mfaume Mfaume
Huyu Mwakinyo asilete ujanja ujanja halafu kwanini mapambano yake hatoki nje Coz ana muda mrefu hajapata pambano la kwenda nje ila amekuwa na ujanja wa kuongea na promoters wa bongo ili bondia wa nje aje hapa,
Aache ujanja ujanja una mwisho wake
 
maboxer wengi wa kibongo wanapoenda nje hawasemi ,wakishinda ndo wanatangaza
 
Huyu mwakinyo mshamba anatakiwa aweke heshima ndan kwanza majitambo tu kila siku
 
Huyu mwakinyo mshamba anatakiwa aweke heshima ndan kwanza majitambo tu kila siku
Mapambano ya ndani kashapigana Sana mpaka kufikia hapo sahivi kapanda juu kwaiyo anaangalia mbele kwenye mafanikio kupigana na kiduku au bondia yoyote wa tz ni kujishusha kwake kutokana na alipo yeye sahivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…