Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo ambaye alishinda kwa KO dhidi ya Bondia Antonio Mayala wa #Angola pambano lililofanyika Mei 28, 2021
Mwakinyo amesema kwa mara ya kwanza angeweza kugoma kwa kutopanda uwanjani kutokana na waandaaji kutomuwekea sehemu ya kubadili nguo
Amesema masuala kama hayo yakitokea tena anaweza kugoma hata kama mgeni rasmi akiwa ni Rais. Amelalamikia suala la wageni kuwa waliwekewa maeneo ya kubadili nguo
Wageni Kutoka Afrika Kusini na nchi nyingine waliwekewa maeneo na yeye mwenyeji hakuwekewa eneo la kubadili nguo
Mwakinyo amesema kwa mara ya kwanza angeweza kugoma kwa kutopanda uwanjani kutokana na waandaaji kutomuwekea sehemu ya kubadili nguo
Amesema masuala kama hayo yakitokea tena anaweza kugoma hata kama mgeni rasmi akiwa ni Rais. Amelalamikia suala la wageni kuwa waliwekewa maeneo ya kubadili nguo
Wageni Kutoka Afrika Kusini na nchi nyingine waliwekewa maeneo na yeye mwenyeji hakuwekewa eneo la kubadili nguo