Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahaSasa kama Mfilipino kakosea kujaza fomu mlitaka msimamizi amjazie? (Alisikika mlevi mmoja toka Green Corner)
Hahah we kua tu mpole mzee baba,maana hata jana Magu alishukuriwa kwa kua tangu ameingia ofisini na sisi tumepata kuonekana kwny Ngumi za kimataifa.Hahahaha, Jana nilimkataa huyo jamaa, kama kashinda sawa hongera zake, ila uzalendo wa hoya hoya nao mgumu?
HahahSasa kama Mfilipino kakosea kujaza fomu mlitaka msimamizi amjazie? (Alisikika mlevi mmoja toka Green Corner)
DuhHahah we kua tu mpole mzee baba,maana hata jana Magu alishukuriwa kwa kua tangu ameingia ofisini na sisi tumepata kuonekana kwny Ngumi za kimataifa.
Uzalendo mbele mkuu.
Hiki kitu hata mimi nilikinotice mkuu! Ile ongea yake nilihisi anatatizo au pengine nikahisi yupo maji/vyombo kama ni mtumiajiNaombeni kujua UTIMAMU WA AKILI WA RASHID MATUMLA. Kila akiulizwa swali au akiongea kama simuelewí anaongea nini.
Jamaa naona ngumi zilimuathiri..
Ngumi nyingi si tatizo, suala anapiga ngumi zenye point? Mpinzani wa Mwakinyo anapiga ngumi nyingi sana usipoweka gadi na kuwa mvumilivu wa gadi anakuondoa mapema sana. Ukipigana na mtu wa namna hiyo ni lazima umtafute na ndicho alichofanya Mwakinyo.Mwakinyo anapoteza hili pambano..
Anaruhusu Ngumi mno
Ni wa kishindo na hii yote ni juhudi za awanu ya 5 jombaaUshindi wa Mwakinyo sawa na ushindi wa uchaguzi Serikali za mitaa...!!![emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mfilipino hajui huku ni marufuku mpinzani kushinda.
Mwakinyo anachokifanya ile ndiye boxing sasa! Mwakinyo mrefu kidogo kwa yule Mfilipino na Mfilipino ameligundua hilo. Ukipigana na opponent ambaye naye ni bigger halafu ni taller than you ni rahisi kukupiga. Kwa sababu ya weight yake na mrefu zaidi yako kwa hiyo mikono yake ni mirefu kuliko yako. Mtu wa namna hiyo anao uwezo wa kupiga ngumi na ikaku' push. Hii kwa mwenye kimo kifupi ni disadvantage kwake.Mwakinyo Will lose this fight aisee....mwakinyo anaruhsu sana kupigwa
Jamani! Michezo ya ngumi mnaijua kweli?Dogo anazingua aiseeeee
Wewe jamaa boxing hujui.Mfilipino 70% Mwakinyo 30%
Sasa kama Mfilipino kakosea kujaza fomu mlitaka msimamizi amjazie? (Alisikika mlevi mmoja toka Green Corner)
Hizi komenti za wadau zinavunja mbavu sanaHahahahahah nimecheka sana
Kuna vitu ulikua huangalii mkuu, nyingi ziliishia kwenye guard ya mwakinyo, hata alivyokua akikimbilia kwenye kamba ni mbinu mojawapo ya kumdanganya akishambulia kwa kasi anamlisha moja ya ukweli afu anajitoa ndio maana mfilipino alikua hajiamni anapomshambulia akiwa kwenye kamba.... Hii ni mbinu ya kiupigaji, km mwakinyo angekua anarudi nyuma kumuogopa basi pambano lingeisha mapema sana,Nope, amekula za kichwa nyingi zaidi. Tena kama raundi saba z mwanzo mwakinyo alielemewa sana, ameanza kufurukuta mwishoni. Lakini akipiga moja, mfilipino anapitisha tatu hadi nne, sio kwenye guards, KICHWANI. Hata Matumla alionyesha wasiwasi mkubwa kwa staili ile na aliashiria mwakinyo amechapwa.
Unaweza kusikia makelele ukadhani goli kuna bwege kapigwa tobo au kanzu
Alikua kwenye harakati za kukwepa ngumi ndio akaenda chini sio ngumi ilimpeleka chini hata ulaya tunaona sana hayo....Unasema nini kuhusu kuanguka chini mwakinyo na mwamuzi akadao alisukumwa?