Watu hawaangalii unapigana na nani ,wanaangalia pesa tuyaan mwakinyo anaangushwa na mapromota wake, wanamuandaliaje mapambano yasiyomkuza? Alikuwa anashika nafas ya 18 aka drop mpaka 88..na anakoelekea atashika ya 200...jana kapigana na mkongo ambae mara yake ya mwisho kupigana ni 2017...lakin akashindwa kumuangusha..sasa jamaa mkongo angekuwa amepata mapambano hv karibun?
Watu hawaangalii unapigana na nani ,wanaangalia pesa tu
Mwakinyo alikuwa ana gharama ya USD elf 80 kwa mapambano ya nje ya nchi...ila kwa sasa hata USD 15 elf hakuna promota atakaemuandalia mapambano, ataendelea kupiganishwa na vibonde tu..Watu hawaangalii unapigana na nani ,wanaangalia pesa tu
Tisha mkuu, umewachukiwa watu wawili kwa mpigo.Mwakinyo ni zuchu wa boxing. Promo nyingiiii uwezo mdogo.
Nimeforward.