Mwakinyo kama Kibanga ampiga mkoloni

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tanzania tulitakiwa kumpa zawadi kubwa Mwakinyo kwa kitendo cha kumpiga mkoloni. Kibanga mwenye asili ya Tanga pia alifanya hivyo huko nyuma tukampa zawadi ya kusomwa kwenye vitabu vya shule za msingi zote nchini ili kila mtu amfahamu Kibanga Kwa ushujaa wake. Huyu Hassani tumpe zawadi gani ili ajisikie kwamba amefanya kazi nzuri kama Kibanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…