Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari!
Nimesikiliza interview moja muda si mrefu ya Mwakinyo ambaye ni bondia bora kwa sasa Tanzania na Africa pia.
Huyu jamaa jinsi media zilivyomu-attack baada ya ushindi wa juzi wa pambano ambalo lilifanyika hapa hapa bongo baada ya kumkalisha kwa TKO mpinzani wake.
Mwakinyo yupo tofauti sana na anaonekana mtu mwenye kujielewa sana na ana ndoto za kufika mbali.
Pia jamaa ana historia ya kupigana pambano lake la kwanza Botswana mwaka 2016 na hakufahamika na mtu.
Unaona kabisa kwanini jamaa pia hataki kupoteza sehemu aliyopo kisa pressure vya mashabiki.
Jamaa leo ndio nimemfahamu vyema kumbe si kama walivyomu-attack kusema ni bondia wenye majigambo bali ni bondia mwenye kujielewa na kujiamini.
Nimesikiliza interview moja muda si mrefu ya Mwakinyo ambaye ni bondia bora kwa sasa Tanzania na Africa pia.
Huyu jamaa jinsi media zilivyomu-attack baada ya ushindi wa juzi wa pambano ambalo lilifanyika hapa hapa bongo baada ya kumkalisha kwa TKO mpinzani wake.
Mwakinyo yupo tofauti sana na anaonekana mtu mwenye kujielewa sana na ana ndoto za kufika mbali.
Pia jamaa ana historia ya kupigana pambano lake la kwanza Botswana mwaka 2016 na hakufahamika na mtu.
Unaona kabisa kwanini jamaa pia hataki kupoteza sehemu aliyopo kisa pressure vya mashabiki.
Jamaa leo ndio nimemfahamu vyema kumbe si kama walivyomu-attack kusema ni bondia wenye majigambo bali ni bondia mwenye kujielewa na kujiamini.