si ameshakubali?auMwakinyo hataki na yupo sahihi kabisa
Sasa hao wa ndan c wapandishe viwango vyao nao wapigane na wazungu wawachape wafikie level za mwakinyo ..... Yaan unataka professional boxer apigane kama mtu wa uswahilin kisa maneno ya wapuuz ambao hata boxing hawajuiMwakinyo anakwepa mapambano ya ndani hofu yake akibondwa heshima yake itashuka ndo maana akiombwa pambano na mabondia chipukizi wa ndani anataka mil 200 ndo apande ulingoni kiuhalisia ni kama anatumia njia hiyo kukimbia kipondo kwa mabondia wadogo ili heshima ibaki kwamba hapigiki ila kiukweli anachapwa vizuri tu
Chifu wewe unaonaje?Sasa hao wa ndan c wapandishe viwango vyao nao wapigane na wazungu wawachape wafikie level za mwakinyo ..... Yaan unataka professional boxer apigane kama mtu wa uswahilin kisa maneno ya wapuuz ambao hata boxing hawajui
Jiulize ww ungekuwa meneja wa mwakinyo ungejubali??
Kama mnatia mpunga unaoeleweka sawa ningekubal .....ila kama tunapigana kutafuta sifa mtaan haitakaa iwezekaneChifu wewe unaonaje?
So ukipigwa na kushushwa vyeo ni sawa tu ila mtonyo uingize sio? Haina nomaKama mnatia mpunga unaoeleweka sawa ningekubal .....ila kama tunapigana kutafuta sifa mtaan haitakaa iwezekane
Hakuna mtu anaingia kwenye ulingo kupigwa ila pambano la mwakinyo na twaha ...Twaha anakuwa ndo ana advantage kuliko mwakinyo kwa sababu akishinda mwakinyo hakuna chochote atakachopata lakin akishinda twaha atapanda viwango sanaSo ukipigwa na kushushwa vyeo ni sawa tu ila mtonyo uingize sio? Haina noma
hawawezi mkuu niwahuni tu sio wanamichezo. bongo Hakuna bondia wakufanana namwakinyo nanivzuri akijitenga naoSasa hao wa ndan c wapandishe viwango vyao nao wapigane na wazungu wawachape wafikie level za mwakinyo ..... Yaan unataka professional boxer apigane kama mtu wa uswahilin kisa maneno ya wapuuz ambao hata boxing hawajui
Jiulize ww ungekuwa meneja wa mwakinyo ungejubali??
Wabongo tuna kama kauchaw flan hv yaan mtu akiwa above average kidogo tunachukia tunataka wote tuwe level moja sasa hv watu wanaomba huyo mwakinyo apigwe ili aonekane cyo chochote.....kesho huyo twaha naye akifika level za kimataifa wataanza kumchukia na yyhawawezi mkuu niwahuni tu sio wanamichezo. bongo Hakuna bondia wakufanana namwakinyo nanivzuri akijitenga nao
uzito wapo tafauti.watapigana vip pia humu kuna watabir wanaweza jua pia cku ya kufa ya MwakinyoTwaha atafute mapambano ya nje yampandishe ndio aje apambane na Mwakinyo
Naunga mkono wadau hata ningekuwa mimi Mwakinyo nisingekubali kupigana ngumi kwa sifa za mtaani tu
hata dula mbabe hamwezi ,mwakinyo yuko soft sanaMwakinyo hamuwezi Kiduku,labda Dula Mbabe