Mwakyembe angeanza na makocha kwanza.

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Inavoonekana waziri wa michezo hapa nchini, mheshimiwa Mwakyembe, analazimisha kupunguza wachezaji wa nchi za nje kwenye timu zetu, sawa ila mie nadhani angeanza na makocha toka nje kwanza kuona ubora wao kama wanafaa kwenye timu zetu.
Ubora wa kocha ndo ubora wa wachezaji.
 
Mwakyembe hii Wizara haimfai, anataka kutuharibia soka
 
Kwani kunaulazima wachezaji wabongo wacheze hapahapa bongo.si waende mbele huko au nchi nyengine za afrika.
Wao wakija kwetu sisi twendeni kwao mnasumbua vichwa kwa vitu ambavyo havina hata maana.
 
Mwakyembe wa ajabu sana,nimemwangalia tbc anasema tbc waonyeshe live ligi daraja la kwanza na la pili,tbc ambayo hata kurusha live hotuba ya rais wanatoa jasho sembuse ligi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…