Mwakyembe Arukiwa Na Wasomi

huyu mwakyembe nalo ni jizi tu la mchana kweupeeeee
 
Hizi pumba.
Mbona juzi kwenye Kongamano pale chuo kikuu baado analalamika kuwa si haki wabunge kuhojiwa?.Sasa kanuni gani za bunge?
 
Hao wasomi kuna jambo hawataki kuwa wawazi, ishu hapa siyo kuhojiwa

Ishu hapa ni Mwakyembe kutamka kuwa JK nafaa

Mwakyembe akibanwa kwenye kona anasema atafumua yote ya richmond ambao kayabakiza

na kila mtu anajua aliloogopa kusema mwakyembe na kamati ni uhusika wa Jk kwenye richmond!

Leo same mwakyembe ansema JK nafaa, hajatulia huyu
 
Mapepe na masifa bila busara ndio sifa yake Mwaki

Anajidai anajua sheria angekataa kuhojiwa tungejua anamaanisha anachosema

Mwizi, opportunist, hana jipya...tofauti yake ni kwamba hakupata cheo akipata atakuwa even more worse..lol
 

Mwakyembe ni typical example ya usanii at its best - mtaji mkuu wa CCM katika kuzidi kuwapumbaza wadanganyika. Yaonekana usanii ndiyo sera pekee inayotekelezwa kikamilifu na serikali kwa baraka za hili zimwi CCM - toka mjumbe wa nyumba kumi, mbunge, waziri hadi mkuu wa kaya mwenyewe. Hapa ndipo nawachoka wote wanaojitokeza kulalamikia uongozi wa nchi na wakati huo huo kumsifia Jemadari Mkuu ! Wanadai Kiongozi wetu ni dhaifu lakini kila wanapopata kibano, pona yao ni kukimbilia kumpaka mafuta huyo huyo kiongozi dhaifu.
Usanii huzaa udhaifu, Udhaifu huzaa unafiki, Unafiki huzaa ulafi, Ulafi huzaa ulaghai na Ulaghai huzaa UFISADI ! Masikini Tanzania !


 
Gazeti la karamagi haliwezi kumchafua mtu makini kama mwakyembe hata mtoto mdogo anajua kati ya karamagi na dk nani zaidi.
 
Dk aliwaambia waweke mdahalo wa wazi na baada ya mdahalo wapite pale kariakoo kwa mguu mtaani waone kama hawata vuliwa na nguo za ndani......

Tena karamagi watachukua miwani kwanza.
 
Usanii huzaa udhaifu, Udhaifu huzaa unafiki, Unafiki huzaa ulafi, Ulafi huzaa ulaghai na Ulaghai huzaa UFISADI ! Masikini Tanzania


MHHHHH.VERY TRUE.
 
Mwakembe hawezi kushindana na vyombo vya dola!
Unafanya mchezo nini? Kamuulize Mramba na Grayson Mgonja (yule alie kuwa katibu mkuu wizara ya fedha!) .Hawa watakuwa na experience nzuri na mamlaka ya dola!
 

hii ni kazi ya mafisadi wa kiiran
 
Dk aliwaambia waweke mdahalo wa wazi na baada ya mdahalo wapite pale kariakoo kwa mguu mtaani waone kama hawata vuliwa na nguo za ndani.......

Unapoona msomi wa ngazi ya uzamivu katika masuala ya sheria anapigia debe "mahakama za mitaani" ama MOB JUSTICE ni lazima ujiulize mara mbilimbli tunakoelekea....

Nakumbuka wakati nipo mlimani mwaka wa kwanza nikisome shahada ya sayansi ya siasa nilikuwa mhudhuriaji mzuri wa mihadhara ya Dr Mwakyembe katika kitivo cha sheria. Ukitoa mbwembwe na tuhuma za unyanyasaji wa baadhi ya wanafunzi zikihusishwa na mapungufu ya kijamii alikuwa mwalimu mzuri sana aliyekuwa akijua nini anafundisha. nilihakikisha kuwa nahudhuria darasa lake hata kama haikuwa kozi niliyojiandikisha na mengi nilisoma kuhusiana na CRIMINAL LAWS.

Hata hivyo sisahau siku ile alipokuwa katika kipindi kimoja cha luninga akiwa pamoja na Marehemu Prof Haroub Othman na Kipanga mwengine wa kitivo cha sheria Prof Palamaganda Kabudi kuhusiana na mauaji ya wazanzibari ya mwezi Januari 2001. Kwa wazi, kejeli, majivuno, chuki na furaha yake ya kuona damu ya wazanzibari ikimwagika.Kwa kweli sitasahau siku ile na mara baada ya hapo akazawadiwa ubunge wa Afrika Mashariki.

Hayo na mengine mengi aliyokuwa akiyafanya wakati wa kampeni ya 2005 ambayo yalimfanya hata JK na mtandao kuapa kutompa nafasi ya uwaziri aliyokuwa akiiamini kuwa anapaswa kuwa nayo kutokana na usomi wake yamenifanye niwe na mtazamo wa kuwa Mwakyembe ni LEARNED POLITICAL MERCINARY period....Ni hatari zaidi ya kina Charles Charles na wenziwe.


Ingawa yeye ni msomi mkubwa amekuwa akifanya siasa zisizo tofauti na MEDIOCRES waliojaa humo bungeni. Inashangaza kuona kuwa kwa usomi wake na exposure aliyonayo bado ameamua kutumikia ajenda moja tu ya RICHMOND katika miaka mitatu yote sasa. Wakati ana uwezo wa kuibua, kujenga na kufanikisha ajenda nyingi kubwa na zenye kuhitajika zaidi kwa mustakabali wa nchi yetu zaidi ya hii HOMA YA LOWASSA NA ROSTAM. Tanzania ni zaidi ya uvundo wa kina ROSTAM, LOWASSA, RICHMOND, DOWANS na katika watu wanaopaswa kulitambua hilo Mwakyembe ni mmoja wapo. Inachosha kusikia neno moja tu RICHMOND kutoka kinyani kwa Msomi wa Level yake ambaye tunategemea mengi makubwa kutoka kwake.

Akiwa kama msomi Mwakyembe anapaswa kubadilika na kuwa zaidi ya hizi petty politics zenye kulenga nguvu za kisiasa tu kuliko maslahi makubwa ya taifa letu linaloelekea kuzama. Msomi mkubwa kama Mwakyembe anapaswa kujipembua kutoka katika hii kansa ya petty, emotional and politics of the belly, ili kuonyesha tija ya kuwa na wasomi katika siasa. Akiendelea na style yake ya sasa ni wazi atakuwa anawasaidia madui wa USOMI katika siasa na hivyo kuendeleza MEDIOCRE POLITICS....

Mwakyembe ni aibu kwa wasomi kama alivyo HARVARD BOY Andrew Chenge....NI wazi kuwa Mwakyembe hajaweza kujikusanyia VIJISENTI sio kwa sababu anaamini katika principles and values lakini he is waiting and scheming for HIS TURN TO EAT....

omarilyas
 
Dk aliwaambia waweke mdahalo wa wazi na baada ya mdahalo wapite pale kariakoo kwa mguu mtaani waone kama hawata vuliwa na nguo za ndani......

Tena karamagi watachukua miwani kwanza.
.

Ndugu Magezi.
Kweli unajua kuandika pumba.na nafikiri wewe ni pumba pia.
 
Mkuu Omarilyas,

1.Akikusikia MASANILO na MWAAFRIKA kuhusu hii post yako,nafikiri mtapigana ngumi.

2.Wao ni Maswahiba wa Mwakyembe na wameamua kwa pamoja kuwa yeye ni kiongozi bora.Ata akiongea pumba,basi zidumu!.

3.MASANILO yeye amesema atashuka na magari mawili ya kampeni,moja limeandikwa MZEE MWANAKIJIJI na lingine limeandikwa INVISIBLE.

4.MASANILO yeye amesema ,ni lazima mwakyembe arudi bungeni mwakani na anajiandaa kwenda kyela kuongeza nguvu na magari yake hayo mawili.

5.MWAAFRIKA naye amesema atakwenda kumpa tafu swahiba wake huyo msanii.Sikonge naye amesema atakwenda , duh . Kweli kyela kutakuwa na mpambano mkali sana mwakani.

5.Na mimi nikipata nauli ya kunitoa Mwanza nitakwenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…