Mwakyembe awaita Diamond na Ali Kiba Dodoma kumaliza bifu

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwakyembe amesema kupitia yeye ni lazima Diamond na Ali Kiba wakae pamoja kwa kuwa yeye ni baba yao, amemuagiza mkurugenzi anayehusika awapelekee ujumbe huo

tasnia ya sheria alijichanganya labda hii ataweza tumpe mda, maana kazi yake itakua kukutana na akina harmorapa na akina sepenga😀😀😀😀
 
Kama ana nia kweli awapatanishe RAMA DEE na MAWINGU!
Au A Chilla na QS.
 
Tunataka amwajibishe Bashite kwa kuvamia clouds na bunduki. Anatuletea habari hazina kichwa wala miguu.
 
Ndio kaona jambo la kuanza nalo baada ya kupewa huo uwaziri?
 
Lazima tujue bifu za wasanii ni sehem ya umaarufu wao, kwa hiyo bora tuache mambo yaende yalivyo., kwasababu inaongeza efficiency ya hao wawili
 
angejua bifu ndio linawafanya waendelee kuzungumziwa hebu awaache...
 
Mtu mzima hovyo.

Ndio maana tulitaka Waziri kijana sio hawa mababu.
 
Alinza na vyeti vya kuzaliwa kabla ya ndoa. Sasa kawa mupatanishi wa wenye bifu huyu mzee kituko kweli hana kazi za maana za kufanya.
 
Kiba usikubali haki usikubali bifu liikiishaa tu mziki wako utaishaa kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…