Mwakyembe: Diamond na Ali Kiba waendeleze bifu zaidi, wasipatanishwe

Mwakyembe: Diamond na Ali Kiba waendeleze bifu zaidi, wasipatanishwe

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Waziri wa michezo na sanaa Harisson Mwakyembe amesemabifu la Diamond a Ali Kiba liendelee zaidi kwa kuwa linaleta ushindani
wangeendeleza zaidi huoushindani na hakuna haja ya kuwasuluhisha

 
Hili jambo linapepewa weee ili mradi livae sura ya east and west coast la miaka ya 90 sasa sijui 2pac hapo ni nani na big small ni nani?
 
Huu ndio ukweli maana wakipatanishwa Alikiba atakosa show...
 
Wapatanishwe ili iweje? Mwakyembe yupo sahihi ni sawa yanga na simba wawe kitu kimoja bifu la akili ya pesa ni zuri litawafanya kutobweteka ila sio la kuchapana.
 
Tuko kwenye vita ya Uchumi sijui tunapigana na nani hii nchi inavituko [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Heri yao wapatanishi maana sijui wataitwaje... anayejua amalizie
 
Hawa ndio Viongozi tunaotegemea watupeleke katika nchi ya VIWANDA
 
Hao ni Wasomi Ma Great Thinker na Ndio washauri wa Raisi....Si mchezo tuna safari ndefu.
 
Back
Top Bottom