Mwakyembe: Katiba mpya inatakiwa imaliziwe ila hatuwei kumpangia ratiba Magufuli

Mwakyembe: Katiba mpya inatakiwa imaliziwe ila hatuwei kumpangia ratiba Magufuli

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Waziri wa katiba na sheria amesema katiba mpy ni muhimu imalizwe lakini kwa kuwa rais alishasema kuwa anainyoosha nchi hawezi kumpangia ni kipi cha kuanza nacho.
Sababu itamnyima uhuru.

 
Sitegemei comment hiyo toka kwa waziri wa katiba na sheria
 
Back
Top Bottom