eti huyu naye ni PhD.
DDC Mlimani Parkwaliimba.
"Usitumiee peeesa, kama fimbo baba, mambo ya pesa hutaka makubaliano, hapo ndipopesa huwa na thamani ee"
We utakuwa muhenga mwenzangu tu, sikwa kumbukumbu hizo.Baada ya hayo mashairi kuna gita linavutwa nyuzi dah.
We utakuwa muhenga mwenzangu tu, sikwa kumbukumbu hizo.
Lile gita siwezi kulisahau mpaka leo.