Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma excerpts nilizoziona unaona kuwa huyu Mwakyembe ni mtu hovyo kuwahi kutokea. Hovyo kabisa!
Mwenye PhD thesis yalke atuwekee hapa tuone alisomea/research yake ilikuwa how much deep learning was in his topic of choice
Nafikiri Suluhisho Pekee la kuepukana na hii aibu ni;
Kupandisha pass za kujiunga The low school zifike angalau 4 GPA
Hapo ndio wengi watafaulu kwani watajiunga watu wenye ufaulu wa juu walio tayari kuwa ma judge
Ukisoma excerpts nilizoziona unaona kuwa huyu Mwakyembe ni mtu hovyo kuwahi kutokea. Hovyo kabisa!
Mwenye PhD thesis yalke atuwekee hapa tuone alisomea/research yake ilikuwa how much deep learning was in his topic of choice
nakwambia tatizo ni walimu, hawataki watu waingie kwenye profesion hiyo. Tatizo si wanafunzi. kwani wanafundisha nini ambacho mtoto hawezi kukisoma akakielewa. hata wao ukiwatungia maswali ya kukomoa watafeli. Wengi wao ni mawakili, mbona wanashindwa kesi kishenzi? nawafuatilia sana, bure na waoNafikiri Suluhisho Pekee la kuepukana na hii aibu ni;
Kupandisha pass za kujiunga The low school zifike angalau 4 GPA
Hapo ndio wengi watafaulu kwani watajiunga watu wenye ufaulu wa juu walio tayari kuwa ma judge
weka link pleaseUkitaka kujua haya matokeo ya Law school ni ya kweli kabisa Wala usipate tabu ndugu.Fuatilia mahojiano ya live kwenye tv ya hawa vijana wanaojiita wasomi wenye 30s to 40s na early 50s wenye degree ni utajua taifa limekwisha!!